Moreen, dawa yako iko jikoni inachemka

Moreen, dawa yako iko jikoni inachemka

Before alikua anaisifia Sana spray yangu
Mkuu pole sana, huo ndo upande wa pili mapenzi yanapogeuka. Yote aliyokuwa anayapenda yanageuka kuwa anayoyachukia.
Kuna jamaa yangu alikuwa anasifiwa ana nywele za kishombe shombe mixa anaitwa msomali wangu mambo yalivobadilika akaambiwa ana manywele kama li paka pori
 
Nilivoanzisha mahusiano na wewe nilikupenda Sana.
Nilikuona ni mwanamke uliejielewa kumbe ulikua unapretend .

Hivi kweli wewe Ni wa kunivungia kiasi hiki mpaka unaniambia unajiskia kichefuchefu nikikukumbatia! Eti kisa spray yangu inanunikia vibaya! Mbona haikua hivyo mwanzo?.

Hata kiss imekua Kama almasi!!!! Pumbavu sana.

Imekua kila ninachokwambia unajibu "NO" Tena bila maelezo yoyote.

Ni Mara ngapi nakusaidia wewe?.

Saiv unavunga ubabe au kisa unatoka mbeya! Ni vile tu siwezi kuitumia karate yangu kumpiga mwanamke ila ningekufua.

Nimekuandalia tukio litakalokuliza siku nzima make dawa ya mwanamke Ni mwanamke .

Wakuu mnisamehe Sana make ndo nimegundua mwanamke hapendwi.





Mara


Sent using Jamii Forums mobile app

Jamani eti kisa anatoka Mbeya[emoji23][emoji23]
 
Bestyy kweli kuna watu wanawapa mapenzi wao kila kitu?
Mbona mimi sikutani nao jamani?
Bestyyyy huyu katudanganya!

Na halahala usidanganyike, hiyo inakuwa ni kauli tu. Katika uhalisia wake huo hatuwapi kila kitu maana kila kitu hakipo.

Halafu kuhusu kukutana nao hao watu bestyyyy inahitaji mjadala hahahaahahahah
 
Back
Top Bottom