Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sema kiukweli kuna spray zina harufu kali aisee. Utasema aliitengeneza mwenyewe baada ya mafunzo na semina za vikundi vya ujasiriamali
Bestyyyy hatari sana mjini aiseee.Bestyy akikujibu nitag.
You know how to read minds.Mkuu unaonekana bado jibu hujaridhika nalo.
Unaona raha sio???
Hii ndio inatakiwa iwe hoja sasa ili wapwa wajadili.
Kwamba????😂😂😂😂dah
Kashajibu hili bestyyyy???Ulimnunulia gari aina gani?
You say so....
[emoji3][emoji3]Hii ndio inatakiwa iwe hoja sasa ili wapwa wajadili.
Una Shing' ngapi mkuu???
Mkuu pole sana, huo ndo upande wa pili mapenzi yanapogeuka. Yote aliyokuwa anayapenda yanageuka kuwa anayoyachukia.Before alikua anaisifia Sana spray yangu
Mnawatesa sana vijana aiseee
Bestyy kweli kuna watu wanawapa mapenzi wao kila kitu?Bestyyyy hatari sana mjini aiseee.
Ufanye sasa bestyyyy upewe kila kitu
Tunataka tufanye kazi ya kumuelekeza namna ya kupata mke Bora.[emoji3][emoji3]
Shingapi ya nini
Amesema gari sio muhimu😂😂😂.Kashajibu hili bestyyyy???
Bestyy hakikisha hizo sifa za mke bora unazichongaa na kuzilazimisha kwa nguvu zote ziendane na zangu na mimi nipewe kila kitu.Tunataka tufanye kazi ya kumuelekeza namna ya kupata mke Bora.
Au unadhani ni bure mkuu???
Nilivoanzisha mahusiano na wewe nilikupenda Sana.
Nilikuona ni mwanamke uliejielewa kumbe ulikua unapretend .
Hivi kweli wewe Ni wa kunivungia kiasi hiki mpaka unaniambia unajiskia kichefuchefu nikikukumbatia! Eti kisa spray yangu inanunikia vibaya! Mbona haikua hivyo mwanzo?.
Hata kiss imekua Kama almasi!!!! Pumbavu sana.
Imekua kila ninachokwambia unajibu "NO" Tena bila maelezo yoyote.
Ni Mara ngapi nakusaidia wewe?.
Saiv unavunga ubabe au kisa unatoka mbeya! Ni vile tu siwezi kuitumia karate yangu kumpiga mwanamke ila ningekufua.
Nimekuandalia tukio litakalokuliza siku nzima make dawa ya mwanamke Ni mwanamke .
Wakuu mnisamehe Sana make ndo nimegundua mwanamke hapendwi.
Mara
Sent using Jamii Forums mobile app
Bestyyyy huyu katudanganya!Bestyy kweli kuna watu wanawapa mapenzi wao kila kitu?
Mbona mimi sikutani nao jamani?