Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Hahahahahahaah.Amesema gari sio muhimu๐๐๐.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu pole sana, huo ndo upande wa pili mapenzi yanapogeuka. Yote aliyokuwa anayapenda yanageuka kuwa anayoyachukia.
Kuna jamaa yangu alikuwa anasifiwa ana nywele za kishombe shombe mixa anaitwa msomali wangu mambo yalivobadilika akaambiwa ana manywele kama li paka pori
Yaani nimechekaJamani eti kisa anatoka Mbeya[emoji23][emoji23]
Yaani kama upo mawazoni mwangu bestyyyy.Bestyy hakikisha hizo sifa za mke bora unazichongaa na kuzilazimisha kwa nguvu zote ziendane na zangu na mimi nipewe kila kitu.
Kwahiyo mtoa mada anatutishia bestyy๐๐๐๐.Bestyyyy huyu katudanganya!
Na halahala usidanganyike, hiyo inakuwa ni kauli tu. Katika uhalisia wake huo hatuwapi kila kitu maana kila kitu hakipo.
Halafu kuhusu kukutana nao hao watu bestyyyy inahitaji mjadala hahahaahahahah
Tena asikutishie kabisaaaa hahahahahahaha.Kwahiyo mtoa mada anatutishia bestyy๐๐๐๐.
Niliogopa nikahisi ni mimi pekee yangu nitakufa kabla sijapewa kila kitu.
Afadhali umekuja mpwaBado hujampa kila anachokijua
Yaani nimecheka
Mbeya siijui tumewakosea nini walimwengu[emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23]Mkuu pole sana, huo ndo upande wa pili mapenzi yanapogeuka. Yote aliyokuwa anayapenda yanageuka kuwa anayoyachukia.
Kuna jamaa yangu alikuwa anasifiwa ana nywele za kishombe shombe mixa anaitwa msomali wangu mambo yalivobadilika akaambiwa ana manywele kama li paka pori
Atajibu best, amesema kwake hela sio tatizo๐๐๐.Yaani kama upo mawazoni mwangu bestyyyy.
Wewe ulivyo mke bora unafaa kabisa kuwa kigezo. Nimemuuliza hapa ana shing'ngapi hajajibu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sijui ni kwa sababu wengi wetu wana miili mikubwa[emoji1787][emoji1787]Naona wanatuona wababe[emoji23][emoji23]
[emoji3] mbeya wanajivunia Sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sijui ni kwa sababu wengi wetu wana miili mikubwa[emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nisaidie kujua hicho anachokijuaBado hujampa kila anachokijua
[emoji3][emoji3]Hii ndio inatakiwa iwe hoja sasa ili wapwa wajadili.
Una Shing' ngapi mkuu???
Mkuu mbona unatuonea sana hivyo watu wa Mbeya?[emoji3] mbeya wanajivunia Sana
Matako na ubabe ila sura mh!
Namsubiria ajibu hapa.Atajibu best, amesema kwake hela sio tatizo๐๐๐.
Asante bestyy kwa kunijali.
Yaah kila akizinguaJamani eti kisa anatoka Mbeya[emoji23][emoji23]
Mkuu so tunaongelea kukusaidia?? Au wewe ulidhani ni bure mkuu?? Kuwa mkweli na muwazi tu hahahahaahahah[emoji3][emoji3]
Kuna kitu nauziwa?