Morning Express ya UFM ni kipindi bora cha asubuhi kwa Tanzania

Morning Express ya UFM ni kipindi bora cha asubuhi kwa Tanzania

Asubuhi huwa nadamka na Amka na BBC Kisha power breakfast ya clouds fm aseee wanajitahidi sana hususani Masoud,Siza na fetinyo....
 
Asubuhi huwa nadamka na Amka na BBC Kisha power breakfast ya clouds fm aseee wanajitahidi sana hususani Masoud,Siza na fetinyo....
Clouds wanajitahidi ndio, ila changamoto ni unnecessary conversations na chitchat nyingi sana,
 
Back
Top Bottom