Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Au sio!!No woman no cry
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au sio!!No woman no cry
Ni kweli ugumu upo kwa wote ila mtizamo kuelekea kwa mwanaume ni tofauti,kwamba hata akitaka msaada sio rahisi kuupata,chunguza utajua hiliHuu ugumu wa maisha si upo kwa wote jamani!!
Noma sanaIt's always men.
😀Wanasiasa uchwara mfano Akina mwigulu nchemba wakisikia taarifa kama Hizi huwa wanafurahi sana na kuchekelea tumboni sijui ni kwanini?
Polisi wamefikiaje hitimisho hilo?Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro limesema Mwanaume mmoja anayefahamika kwa jina la Nungu Nassoro (25), Mfanyabiashara na Mkazi wa Kata ya Lukobe, Wilaya na Mkoa wa Morogoro amekutwa akiwa amejiua kwa kujinyonga kwa kutumia kamba ya katani kwenye mti wa mwembe uliopo kwenye makazi yake huku Polisi wakisema chanzo cha kujiondoa uhai wake ni msongo wa mawazo unaotokana na ugumu wa maisha.
Taarifa iliyotolewa leo March 02,2025 na Kamanda wa Polisi Morogoro imesema “Tukio hili limebainika mapema jana March 01, 2025 katika Mtaa na Kata ya Lukobe, Manispaa ya Morogoro”
“Uchunguzi wa awali umebaini kuwa chanzo kujiondoa uhai ni msongo wa mawazo unaotokana na ugumu wa maisha, maiti imekabidhiwa kwa Ndugu wa marehemu baada ya kukamilisha uchunguzi wa
maiti hiyo”
Wanawake hili hawalifahamuNi kweli ugumu upo kwa wote ila mtizamo kuelekea kwa mwanaume ni tofauti,kwamba hata akitaka msaada sio rahisi kuupata,chunguza utajua hili
Hawalijui hiloWanawake hili hawalifahamu
Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro limesema Mwanaume mmoja anayefahamika kwa jina la Nungu Nassoro (25), Mfanyabiashara na Mkazi wa Kata ya Lukobe, Wilaya na Mkoa wa Morogoro amekutwa akiwa amejiua kwa kujinyonga kwa kutumia kamba ya katani kwenye mti wa mwembe uliopo kwenye makazi yake huku Polisi wakisema chanzo cha kujiondoa uhai wake ni msongo wa mawazo unaotokana na ugumu wa maisha.
Taarifa iliyotolewa leo March 02,2025 na Kamanda wa Polisi Morogoro imesema “Tukio hili limebainika mapema jana March 01, 2025 katika Mtaa na Kata ya Lukobe, Manispaa ya Morogoro”
“Uchunguzi wa awali umebaini kuwa chanzo kujiondoa uhai ni msongo wa mawazo unaotokana na ugumu wa maisha, maiti imekabidhiwa kwa Ndugu wa marehemu baada ya kukamilisha uchunguzi wa
maiti hiyo”
Juzi wametangaza kijana 22yrs kajinyonga kwa mawazao Leo kijana 25yrs kajinyonga Nini shida Kwa Hawa watu under 30's still young Kuna mengine ya ziada tofaut na hayo mawazo
😀😀nyau de adriz na Mufti kuku The InfinityMatatizo yapo kwa wote na pesa na maisha mazuri si kila kitu kwani nakumbuka Maghayo The Mongolian Savage The Nyabumbu aliwahi kupitia msongo mkali wa mawazo kiasi ya kwamba tulihiofia kuwa atajitoa uhai na aliacha kabisa humu Uzi eti "Liwalo na Liwe" hata bange hazikuweza kupunguza depression yake hiyo na akapotea Jf.
Pamoja na Mandinga na ukwasi wake Mamtoni jamaa alikuwa very depressed ila ndio hivyo tu 'Time heals' jamaa ameweza kuovervome that problem sasa hivi anasumbua..