Morocco - Algeria and Egypt, wenye mpira wao

Morocco - Algeria and Egypt, wenye mpira wao

Sol de Mayo

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2016
Posts
6,515
Reaction score
6,230
Bandugu, kwa wale mliobahatika kutazama mechi ya magiants wa afrika (FIFA ARAB CUP), kati ya Morocco and Algeria ilipigwa tarehe 11/12/2021 mutakuwa mmeenjoy sana sana 😀 pira limepigwa acha kabisaa, nina uhakika hawa magiants + Pharaoh watafika mbali mno nchini Qatar/World Cup, na watatuwakilisha vyema. Pira wanalopiga bandugu hata timu za ulaya or America ya kusini n.k watapata shidda, wakijichanganya wanapotezwa few minutes.

Algeria🔥🔥🔥
Morocco🔥🔥🔥
Egypt🔥🔥🔥

Matokeo yalikuwa, Algeria alimuondosha Morocco na kutinga semi final Egypt alimuondosha Jordan na kutinga semi final

Bandugu, ni hayo tu.
 
Hao watawakilisha nchi zao, sisi wawakilishi wetu walikuwa ni Taifa Stars na waliishaaga mashindano kama kawaida, kusema waarabu watuwakilishe ni siasa za kishamba sana.
 
Hao watawakilisha nchi zao, sisi wawakilishi wetu walikuwa ni Taifa Stars na waliishaaga mashindano kama kawaida, kusema waarabu watuwakilishe ni siasa za kishamba sana.

Soka la afrika linapendeza na kuonekana na hadhi kutokana na timu za kiarabu kufanya vyema mkuu, wacpowepo hao magiants watatu+Tunisia unadhani nani atakuwa na habari ya kufuatilia soka la afrika!! Hawa ndiyo wana2fanya wengine tufuatilie.

So, Wataliwakilisha bara la afrika.
 
Soka la afrika linapendeza na kuonekana na hadhi kutokana na timu za kiarabu kufanya vyema mkuu, wacpowepo hao magiants watatu+Tunisia unadhani nani atakuwa na habari ya kufuatilia soka la afrika!! Hawa ndiyo wana2fanya wengine tufuatilie.

So, Wataliwakilisha bara la afrika.
Kuna timu yoyote ya kiarabu iliyowahi kufika hata robo fainali ya kombe la dunia au wewe unaongea tu wakati haya mashindano umeanza kuyafuatilia miaka minne iliyopita.
 
Bandugu, kwa wale mliobahatika kutazama mechi ya magiants wa afrika (FIFA ARAB CUP), kati ya Morocco and Algeria ilipigwa tarehe 11/12/2021 mutakuwa mmeenjoy sana sana 😀 pira limepigwa acha kabisaa, nina uhakika hawa magiants + Pharaoh watafika mbali mno nchini Qatar/World Cup, na watatuwakilisha vyema. Pira wanalopiga bandugu hata timu za ulaya or America ya kusini n.k watapata shidda, wakijichanganya wanapotezwa few minutes.

Algeria🔥🔥🔥
Morocco🔥🔥🔥
Egypt🔥🔥🔥

Matokeo yalikuwa, Algeria alimuondosha Morocco na kutinga semi final Egypt alimuondosha Jordan na kutinga semi final

Bandugu, ni hayo tu.
Africa itabaki kuwa africa tu linapokuja suala la kombe la dunia.....full stop
 
Halafu unaweza kukuta hapo unashabikia Brazil au England utafikiri zenyewe ndio zinakuhusu karibu zaidi kuliko team zinazotoka kwenye bara lako!
Wewe unajua maana ya ushabiki lakini, mtu yuko Musoma, Bukoba au Songea lakini anashabikia Simba/Yanga ambao wako mbali kabisa Dar es salaam na anaacha timu iliyopo katika mji alipo.

Wewe hujui kwamba huku Afrika kuna mashabiki kibao wa vilabu vya Ulaya. Hujui kwamba, Congo DR ikienda World Cup unaweza ukaacha kuwashangilia ukashangilia Algeria, Morocco au Egypt na ndio ushabiki ulivyo.
 
Watapunguzana kivipi? Idadi ya team kutoka Africa ni ile ile,haijalishi nani kaenda au nani katolewa.
Mkuu africa bado haijaoata wawakilishi wa WC ya Qatar, timu zimebaki kumi wakiwemo hao uliowataja sasa hizo timu kumi zitakutanishwa ili zibaki tano sasa ikitokea misri kapangwa na algeria zat mins ataenda mmoja wao atakaepata wastani mzuri wa magoli katika hizo mechi mbili watakazokutana
 
Back
Top Bottom