Morocco Derby: kati ya Wydad na Raja ipi ni timu yenye ushindani zaidi?

Kwangu mimi nimepitia statistics zao kwa sasa Raja ni bora kuliko Waydad hata klabu bingwa heri ukutane na Waydad kuliko Raja.
Hata hii Derby yao Raja atashinda. Ana mpira wa kasi na kila kosa la mpinzani wao wanahesabu ni goli.
 


Kwa haraka haraka huwa nasikia hizi timu mbili ndio kama Real Madrid na Barcelona za huko Morocco,

Kwa wale mnaofuatilia soka na kubahatika kuweza kujua ubora wa hizi timu tunaombeni mtumegee uzoefu wenu.
Derby ya Uhispania ilikuwa Real Madrid an Atletical Madrid, make zote ni za Jiji la Madrid, Barcelona na Real Madrid ni wana upinzanzani tu ila sio wa jadi, ni kama Italy wapinzani ni Intermilan na Ac Millan hawa ndio wapinzani wa Jadi
 
Kwangu mimi nimepitia statistics zao kwa sasa Raja ni bora kuliko Waydad hata klabu bingwa heri ukutane na Waydad kuliko Raja.
Hata hii Derby yao Raja atashinda. Ana mpira wa kasi na kila kosa la mpinzani wao wanahesabu ni goli.
Derby ya jana wametoka 2-2 kwenye ligi Raja point 34 Wydad point 43 maana yake Raja kazidiwa point 9, goal difference Raja 25 Wydad 30. Hizo Statistics ulizopitia kwa sasa ukaona Raja ni bora kuliko Wydad ni zipi?
 
Derby ya jana wametoka 2-2 kwenye ligi Raja point 34 Wydad point 43 maana yake Raja kazidiwa point 9, goal difference Raja 25 Wydad 30. Hizo Statistics ulizopitia kwa sasa ukaona Raja ni bora kuliko Wydad ni zipi?
Kama Yanga mnavyoongoza kwa point nyingi ila Simba ni next level
 
... maana yake Raja kazidiwa point 9, goal difference Raja 25 Wydad 30.
kama ni kuongoza ligi, hata huku Bongo inayoongoza ni Yanga, lakini ilitolewa ipo shirikisho 😁
 
Wydad AC vs Raja AC ni Casablanca derby na kwa kipindi chote Raja AC amekuwa juu ya Wydad AC ila kwa miaka mitano ya karibuni Wydad AC amefanya vizuri kwenye derby dhidi ya mshindani wake..
 
SIMBA KAMTOA ZAMALECK BINGWA MTETEZI NYUMBANI KWAO MISRI 2003.

1. Juma kaseja.
2. Said swedi.
3. Ramadhani waso.
4. Victor Costa.
5. Boniface pawasa.
6. Christofer Alex.
7. Yusuph Macho.
8. Suleiman MATOLA.
9. Emanuel Gabliel.
10. Otman Machupa.
11. Ulmboka mwakingwe.

Atakuwa widad????
 
Unaongea uku ukiwa na hofu
 


Kwa haraka haraka huwa nasikia hizi timu mbili ndio kama Real Madrid na Barcelona za huko Morocco,

Kwa wale mnaofuatilia soka na kubahatika kuweza kujua ubora wa hizi timu tunaombeni mtumegee uzoefu wenu.
Ni kama yanga na simba ya sasa..
Hao wydad ni kama simba na raja ni kama yanga..
 
Nimeangalia mechi zao za makundi naona Raja ana mpira wa kadi sana unaochanganya mpinzani. Waydad ni wazuri lakini mpira wao siyo wa kasi tutapambana nao
Mechi yao ya jana ya wenyewe kwa wenyewe uliangalia?
 
Derby ya jana wametoka 2-2 kwenye ligi Raja point 34 Wydad point 43 maana yake Raja kazidiwa point 9, goal difference Raja 25 Wydad 30. Hizo Statistics ulizopitia kwa sasa ukaona Raja ni bora kuliko Wydad ni zipi?
Ukiachana na ulichokitaja hapo raja wanasoka la kasi zaid na kiufundi kuliko wydad.

msimu wydad kabeba ubingwa kwa kumfunga al ahly sio kwamba wydad wanasoka la kutisha sana ila ni wapambanaji tu maana al ahly alitawala kila kitu wyad wakafunga magoli ya mashambulizi ya kushtukiza.

Ila game ya nusu final al ahly alikutana na raja yaani al ahly alipigiwa mpira mkubwa sana wakapita kwa kubebwa bebwa tu al ahly.

Kwahyo kiufundi raja wapo vzr kuliko wyadad ila wydad ni wanacheza soka la nguvu na kibabe
 
Unamlinganisha zamalek mchovu na wydad?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…