Morocco kutupiga 3 kavu imetuheshimisha, Zambia na DRC msituangushe!

Morocco kutupiga 3 kavu imetuheshimisha, Zambia na DRC msituangushe!

UVCCM: Mbona tupo na negativity sana, kufungwa ni football. Sio timu hamasa sio CCM, hata ingekua CHADEMA hata ingekua wewe ndio upo kwenye timu hamasa TUSINGETOBOA kwa Morocco. Sisi ndio tunakuja na wao walishafika siku nyingi, tupo kupata Experience. Tuache kutoa maoni hasi kwenye swala ambalo hatuna uwezo nalo. Sijui timu hamasa sijui UCCM na UCHADEMA hausaidii kitu hapa. Kufungwa ni football tuache kubeza wengine. Tunashusha Nyota zetu kwa aina hii ya NEGATIVITY.

WASIO CCM: Hakuna haja ya kuwalaumu watu wa hamasa. Wao wanamajukumu mengine kabisa,tusichanganye. Nakubaliana na wewe kwa asilimia zaidi ya 99 kwa mipango na mapendekezo uliyoyaainisha, hakuna short cut katika soka. Mwaka 1994/95 alikuja Kocha wa timu ya Taifa kutoka Romania Victor Stanslescu na alikuja na mapendekezo ya kuboresha michezo kwa mipango ya Miaka 20 baadaye kila mmoja alimdharau na aliamua kusepa kwani hakuona dira wala mipango.

WASIO NA CHAMA: Wanaomba stars ifungwe game zote, hakuna timu duniani hata zilizochukua kombe la dunia captain akahojiwa akataja raisi wa nchi, hata kama raisi alikuwa uwanjani kushuhudia fainali hatajawi, atashukuriwa kocha na Mungu, sasa huu upuuzi ulioingizwa kwenye soka na kutekwa na siasa waendelee , wengi wetu tuna chi tunzishabikia ila siyo hii ya wanasiasa.

Waziri unatumia masaa mawili ni injili unawahubiria? Muda wote mara simu kapiga mama, mara Mwana FA kaja, Mara takataka gani za hamasa, mara kuzindika saa ngapi wachezaji watapumzika na kuwaza game?

Mumewapa tension ya kila aina, yaani sasa hivi tunasika mkia kwenye kundi na hatuna goli, yutadundwa kama ngoma, na hatutakaa tupate akili, ni kujipa magonjwa kushabikia timu za wanasiasa.


Masaa mawili! hapo ni kuwachosha tu. Inabidi wapunzike. watawapiga Zambia, DRC tunaaambulia nafasi ya tatu na kusonga mbele.
 
Mimi siyo mtu wa mpira wala shabiki. Jana niliangalia mpira.

Mtangazaji alidai kwenye Timu ya Taifa kuna wachezaji 6 ambao walipitia Azam Academy, akiwemo ndugu yangu Novatus Didas Miroshi (Chuga).

Picha ya haraka ni kwamba Azam wameweza kuleta mabadiliko sana kwenye soka la Tanzania kwa kuwekeza kitaalam.

Kwa vyovyote vile, Serikali ilipaswa kuwekeza kwenye soka kama anavyofanya Bakhresa, badala ya kutegemea wachezaji kutoka kwenye vilabu.

Kauli ya Mwinyi kwamba Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu bado inafanya kazi.

Kama Bakhresa kaweza kutoa wachezaji 6 kupitia Azam Academy, je, Serikali ikiwekeza tungefika mbali kiasi gani?
 
Mimi maoni yangu nikuwa Kila jambo katika nchi yetu ni siasa, kufungwa sio kitu kigeni lakini kuifanya timu ya Taifa kuwa ni timu ya chama na serikali ndo hapo tunaharibu

Sasa hivi Kila kitu samaia,Samia kwani tushaanza kampeni za uchaguzi wa urais.

Samia tunampenda ila kundi la mafisadi limeiteka serikali na sasa linampofusha macho mama Ili asione urafi wao kwa kutengeneza mapambio ya sifa Kila mahali.

Ndo maana Kila kinachofanywa na serikali wananchi wanatilia mashaka wanaona kuwa ni upigaji, hata michango ya Hamasa nayo inaweza kuwa ni upigaji.

TUKUMBUKE KUWA SUKARI KILO TSH 4500,UNGA KILO 1500, MCHELE 3000 bado nauli, Hakuna kiongozi aliyetoka kuja kulisemea hilo ila mna kusanya watu kuchangia Taifa stars mnaziacha shida za msingi za watu Harafu mnataka Watanzania wawe na uchungu na Taifa stars.
 
UVCCM: Mbona tupo na negativity sana, kufungwa ni football. Sio timu hamasa sio CCM, hata ingekua CHADEMA hata ingekua wewe ndio upo kwenye timu hamasa TUSINGETOBOA kwa Morocco. Sisi ndio tunakuja na wao walishafika siku nyingi, tupo kupata Experience. Tuache kutoa maoni hasi kwenye swala ambalo hatuna uwezo nalo. Sijui timu hamasa sijui UCCM na UCHADEMA hausaidii kitu hapa. Kufungwa ni football tuache kubeza wengine. Tunashusha Nyota zetu kwa aina hii ya NEGATIVITY.

WASIO CCM: Hakuna haja ya kuwalaumu watu wa hamasa. Wao wanamajukumu mengine kabisa,tusichanganye. Nakubaliana na wewe kwa asilimia zaidi ya 99 kwa mipango na mapendekezo uliyoyaainisha, hakuna short cut katika soka. Mwaka 1994/95 alikuja Kocha wa timu ya Taifa kutoka Romania Victor Stanslescu na alikuja na mapendekezo ya kuboresha michezo kwa mipango ya Miaka 20 baadaye kila mmoja alimdharau na aliamua kusepa kwani hakuona dira wala mipango.

WASIO NA CHAMA: Wanaomba stars ifungwe game zote, hakuna timu duniani hata zilizochukua kombe la dunia captain akahojiwa akataja raisi wa nchi, hata kama raisi alikuwa uwanjani kushuhudia fainali hatajawi, atashukuriwa kocha na Mungu, sasa huu upuuzi ulioingizwa kwenye soka na kutekwa na siasa waendelee , wengi wetu tuna chi tunzishabikia ila siyo hii ya wanasiasa.

Waziri unatumia masaa mawili ni injili unawahubiria? Muda wote mara simu kapiga mama, mara Mwana FA kaja, Mara takataka gani za hamasa, mara kuzindika saa ngapi wachezaji watapumzika na kuwaza game?

Mumewapa tension ya kila aina, yaani sasa hivi tunasika mkia kwenye kundi na hatuna goli, yutadundwa kama ngoma, na hatutakaa tupate akili, ni kujipa magonjwa kushabikia timu za wanasiasa.

Kwani ile mechi ni ya Chama?
 
Kati ya Marais waliofanya vizuri sana, tena katikati ya mazingira magumu sana ni Hayati Benjamin Mkapa, lakini kipindi chake, hatukusikia sifa za kijinga na kinafiki toka kwa mawaziri wake kama hawa wa sasa.
Huu ujinga aliuasisi magufuli a.k.a dikteta jiwe, sasa machawa wote wameambukizwa
 
Ku
Nimefurahi jana tumepigwa kipigo cha kutufunza adabu kama taifa, mpira ni uwekezaji sio hamasa za machawa. Next match Congo na Zambia wanatukanda pia turudi bila point.
Matokeo yana sehemu tatu kufungwa, kufunga na sare.Ni matokeo tu. South Africa imefungwa na Mali, nao waitaji uwekezaji? Brazil alifungwa na Germany, 7-0 nae aliitaji uwekezaji? Ureno alifungwa na Morocco nae aliitaji uwekezaji? Hayo ni matokeo tu ya mpira.
 
Huu ujinga aliuasisi magufuli a.k.a dikteta jiwe, sasa machawa wote wameambukizwa
Tumefikishwa pabaya, haya machawa ukifuatilia. i ma-graduate ya UDSM na IFM , yaani vyuo vimezalisha takataka mjini.
Unakuta jitu liko baa siku nzima linakula WiFi bure na maji kubwa kumbe ni kazi za kufoward na kumsifia mama, wna group zao za kutumiana post ili waipambe serikali.
 
Zambia na DRC zisikuangushe?🤣🤣🤣aiseeeee!!!
Kwani hizo nchi zinakuhusu nini mkuu
 
UVCCM: Mbona tupo na negativity sana, kufungwa ni football. Sio timu hamasa sio CCM, hata ingekua CHADEMA hata ingekua wewe ndio upo kwenye timu hamasa TUSINGETOBOA kwa Morocco. Sisi ndio tunakuja na wao walishafika siku nyingi, tupo kupata Experience. Tuache kutoa maoni hasi kwenye swala ambalo hatuna uwezo nalo. Sijui timu hamasa sijui UCCM na UCHADEMA hausaidii kitu hapa. Kufungwa ni football tuache kubeza wengine. Tunashusha Nyota zetu kwa aina hii ya NEGATIVITY.

WASIO CCM: Hakuna haja ya kuwalaumu watu wa hamasa. Wao wanamajukumu mengine kabisa,tusichanganye. Nakubaliana na wewe kwa asilimia zaidi ya 99 kwa mipango na mapendekezo uliyoyaainisha, hakuna short cut katika soka. Mwaka 1994/95 alikuja Kocha wa timu ya Taifa kutoka Romania Victor Stanslescu na alikuja na mapendekezo ya kuboresha michezo kwa mipango ya Miaka 20 baadaye kila mmoja alimdharau na aliamua kusepa kwani hakuona dira wala mipango.

WASIO NA CHAMA: Wanaomba stars ifungwe game zote, hakuna timu duniani hata zilizochukua kombe la dunia captain akahojiwa akataja raisi wa nchi, hata kama raisi alikuwa uwanjani kushuhudia fainali hatajawi, atashukuriwa kocha na Mungu, sasa huu upuuzi ulioingizwa kwenye soka na kutekwa na siasa waendelee , wengi wetu tuna chi tunzishabikia ila siyo hii ya wanasiasa.

Waziri unatumia masaa mawili ni injili unawahubiria? Muda wote mara simu kapiga mama, mara Mwana FA kaja, Mara takataka gani za hamasa, mara kuzindika saa ngapi wachezaji watapumzika na kuwaza game?

Mumewapa tension ya kila aina, yaani sasa hivi tunasika mkia kwenye kundi na hatuna goli, yutadundwa kama ngoma, na hatutakaa tupate akili, ni kujipa magonjwa kushabikia timu za wanasiasa.

Khaaa masaa mawili anaongea nao kitu gani? Hata mpirs wenyewe ni lisaa na nusu tu
 
" ..hakuna timu duniani hata zilizochukua kombe la dunia captain akahojiwa akataja raisi wa nchi, hata kama raisi alikuwa uwanjani kushuhudia fainali hatajawi, atashukuriwa kocha na Mungu, sasa huu upuuzi ulioingizwa kwenye soka na kutekwa na siasa

Waziri unatumia masaa mawili ni injili unawahubiria? Muda wote mara simu kapiga mama, mara Mwana FA kaja, Mara takataka gani za hamasa, mara kuzindika saa ngapi wachezaji watapumzika na kuwaza game?"

Hiyo inadhihirisha tulivyo na mawaziri wajinga na wanafiki wakubwa.

Mawaziri wajinga kama huyu, nadhani hata wakijisaidia, wanamshukuru sana Rais Samia kwa kuweza kujisaidia; wakiwa wananyoa ndevu zao, wanamshukuru Rais Samia kwa kuwawezesha kuwa na ndevu. Maana ni ujinga na upuuzi kila mahali! Hata kuwasikiliza inatia kinyaa. Hata kama Rais akifanya vizuri, lakini huwezi kumpa sifa za kinafiki namna hiyo.

Kati ya Marais waliofanya vizuri sana, tena katikati ya mazingira magumu sana ni Hayati Benjamin Mkapa, lakini kipindi chake, hatukusikia sifa za kijinga na kinafiki toka kwa mawaziri wake kama hawa wa sasa.
Waziri anahubiri injili ya CCM mungu wao Nyerere 😝😝😝😝
 
Back
Top Bottom