Morocco kwenda Ulaya (Uhispania na Ureno) ni karibu kuliko Zanzibari na Dar (umbali wa fukwe ni 14km)

Morocco kwenda Ulaya (Uhispania na Ureno) ni karibu kuliko Zanzibari na Dar (umbali wa fukwe ni 14km)

Hivi unapo-dedicate ushindi wako kwa nchi yako ya Morocco, Waarabu na Uislamu, hapo bado kuna nafasi ya Afrika? Kwa nini hao wa-afrika wasio Waarabu wakuone ni mwenzao, vipi mamilioni ya wa-afrika wasio waislamu, watakushangilia. Ubaguzi haujawahi kumweka mtu salama. Bora kungekuwa na bara la Afrika na bara la Arabu ama waende bara la Asia.
 
Hivi unapo-dedicate ushindi wako kwa nchi yako ya Morocco, Waarabu na Uislamu, hapo bado kuna nafasi ya Afrika? Kwa nini hao wa-afrika wasio Waarabu wakuone ni mwenzao, vipi mamilioni ya wa-afrika wasio waislamu, watakushangilia. Ubaguzi haujawahi kumweka mtu salama. Bora kungekuwa na bara la Afrika na bara la Arabu ama waende bara la Asia.
Kabisa
 
Hili taifa la Morocco wana kila sababu kujiita ni watu wa Ulaya!

Umbali kutoka fukwe za Morocco na Uhispania iliyoko bara la ulaya ni 14km tu! Umbali huu unaruhusu muingiliano rahisi sana kama ilivyo Pemba na Unguja!

Koo nyingi za uhispania wameoleana na Wamorocco kama ilivyo kwetu bara na visiwani!

Kwa usafiri wa ndege kutoka miji muhimu ya Morocco na Uhispania ni mwendo wa saa moja na dakika kumi tu kwani kuna umbali wa takriban kilomita elfu moja tu, umbali ambao ni sawa na kutoka Dar to Mwanza!

Kiufupi hawa waarabu wapo Afrika basi tu lakini asili yao ni Ulaya! Matendo yao ni ulaya, elimu yao ni ulaya, mitaala yao ni ulaya n.k

Tabia za Mreno na Mhispania nyingi zinaingiliana sana na Wamorocco!

Kuiweka kundi moja Morroco na Tanzania ni sawa na kulinganisha nywele za utosini na vinyweleo vya miguu! Hatufanani hata kidogo!

View attachment 2448016
Hivi wanashare bahari gani?
 
Kujenga karibu na mhindi haimaanishi na wewe utakuwa mhindi,wa Morocco bado ni waafrika tu
 
Hili taifa la Morocco wana kila sababu kujiita ni watu wa Ulaya!

Umbali kutoka fukwe za Morocco na Uhispania iliyoko bara la ulaya ni 14km tu! Umbali huu unaruhusu muingiliano rahisi sana kama ilivyo Pemba na Unguja!
Hili taifa la Morocco wana kila sababu kujiita ni watu wa Ulaya!

Umbali kutoka fukwe za Morocco na Uhispania iliyoko bara la ulaya ni 14km tu! Umbali huu unaruhusu muingiliano rahisi sana kama ilivyo Pemba na Unguja!
Pemba na Unguja kuna masafa marefu! Labda useme Unguja na Bagamoyo na sio Pemba!

By the way, Ukiwa Unguja Ukuu na hali ya hewa ni nzuri utaiona Wazo Hill! Na hata ukiwa Nungwi kamwe uwezi kuiona Pemba!

Unguja kwenda Dar kwa ndege yenye injini ya jet ni dakika saba...
 
Walivyotukataa bora walivyofungwa tu Kombe lilikua linaenda Arabuni hilo haha
 
Kwa usafiri wa ndege kutoka miji muhimu ya Morocco na Uhispania ni mwendo wa saa moja na dakika kumi tu kwani kuna umbali wa takriban kilomita elfu moja tu, umbali ambao ni sawa na kutoka Dar to Mwanza!


View attachment 2448016

Hapa kwenye usafiri wa ndege ndio umeniacha, inakuaje 14 km difference utembee kwa lisaa limoja kama Dar to Mwanza while unasema umbali ni karibu kuliko Dar na Znz?
 
Hata kama ni Mimi siwez kujiita Muafrica Kwa viongozi wasiojielewa
 
Watu mnapenda kukuza mambo yenye negativity!

Mahojiano yao niliyaona...

Kati ya WOTE ambao walihojiwa ni MMOJA TU ndie hakuitaja Afrika lakini wachezaji wengine WOTE, including Kocha, wali-dedicate ushindi kwa nchi za Kiarabu na Kiafrika.

Wengine wakaongezea na kwa Waislam, yule MMOJA TU ndie ali-dedicate ushindi kwa nchi za Kiarabu na Muslims World!

Wapenda negativities, wakaacha maelezo ya wengine WOTE wakayachukua ya yule mmoja tu!!
hilo ndo tatizo letu kubwa kabisa!!!!
 
Alafu huwezi kusikia wamorocco wamezamia Meli kwenda ulaya
Una uhakika kweli mkuu ?

IMG_20221216_072534.jpg
IMG_20221216_072443.jpg
IMG_20221216_072350.jpg
IMG_20221216_072719.jpg
 
Wafate nini Ulaya wanachokosa kwao,Ni SAwa na Mzulu azamie Ulaya
Bado wapo wanaotoroka sio kila mtu Morocco ana maisha mazuri na huwa wanakufa kwa wingi wakipiga hizo mishe za kuzamia

 
Kukaa karibu na mahakama sio kujua sheria
 
Kama waafrika wanatamani kuzamia Ulaya means kudai UHURU walikurupuka
 
By the way, Ukiwa Unguja Ukuu na hali ya hewa ni nzuri utaiona Wazo Hill! Na hata ukiwa Nungwi kamwe uwezi kuiona Pemba!
Acha uongo.
Ukiwa Unguja huwezi kabisa kuiona land object yoyote ya Dar es Salaam.

Unajua curvature ya dunia ilivo wewe?
 
Back
Top Bottom