Morocco kwenda Ulaya (Uhispania na Ureno) ni karibu kuliko Zanzibari na Dar (umbali wa fukwe ni 14km)

Hivi unapo-dedicate ushindi wako kwa nchi yako ya Morocco, Waarabu na Uislamu, hapo bado kuna nafasi ya Afrika? Kwa nini hao wa-afrika wasio Waarabu wakuone ni mwenzao, vipi mamilioni ya wa-afrika wasio waislamu, watakushangilia. Ubaguzi haujawahi kumweka mtu salama. Bora kungekuwa na bara la Afrika na bara la Arabu ama waende bara la Asia.
 
Kabisa
 
Hivi wanashare bahari gani?
 
Kujenga karibu na mhindi haimaanishi na wewe utakuwa mhindi,wa Morocco bado ni waafrika tu
 
Hili taifa la Morocco wana kila sababu kujiita ni watu wa Ulaya!

Umbali kutoka fukwe za Morocco na Uhispania iliyoko bara la ulaya ni 14km tu! Umbali huu unaruhusu muingiliano rahisi sana kama ilivyo Pemba na Unguja!
Hili taifa la Morocco wana kila sababu kujiita ni watu wa Ulaya!

Umbali kutoka fukwe za Morocco na Uhispania iliyoko bara la ulaya ni 14km tu! Umbali huu unaruhusu muingiliano rahisi sana kama ilivyo Pemba na Unguja!
Pemba na Unguja kuna masafa marefu! Labda useme Unguja na Bagamoyo na sio Pemba!

By the way, Ukiwa Unguja Ukuu na hali ya hewa ni nzuri utaiona Wazo Hill! Na hata ukiwa Nungwi kamwe uwezi kuiona Pemba!

Unguja kwenda Dar kwa ndege yenye injini ya jet ni dakika saba...
 
Walivyotukataa bora walivyofungwa tu Kombe lilikua linaenda Arabuni hilo haha
 
Kwa usafiri wa ndege kutoka miji muhimu ya Morocco na Uhispania ni mwendo wa saa moja na dakika kumi tu kwani kuna umbali wa takriban kilomita elfu moja tu, umbali ambao ni sawa na kutoka Dar to Mwanza!


View attachment 2448016

Hapa kwenye usafiri wa ndege ndio umeniacha, inakuaje 14 km difference utembee kwa lisaa limoja kama Dar to Mwanza while unasema umbali ni karibu kuliko Dar na Znz?
 
Hata kama ni Mimi siwez kujiita Muafrica Kwa viongozi wasiojielewa
 
hilo ndo tatizo letu kubwa kabisa!!!!
 
Wafate nini Ulaya wanachokosa kwao,Ni SAwa na Mzulu azamie Ulaya
Bado wapo wanaotoroka sio kila mtu Morocco ana maisha mazuri na huwa wanakufa kwa wingi wakipiga hizo mishe za kuzamia

 
Kukaa karibu na mahakama sio kujua sheria
 
Kama waafrika wanatamani kuzamia Ulaya means kudai UHURU walikurupuka
 
By the way, Ukiwa Unguja Ukuu na hali ya hewa ni nzuri utaiona Wazo Hill! Na hata ukiwa Nungwi kamwe uwezi kuiona Pemba!
Acha uongo.
Ukiwa Unguja huwezi kabisa kuiona land object yoyote ya Dar es Salaam.

Unajua curvature ya dunia ilivo wewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…