Morocco ni timu ambayo nimetokea kuipenda sana ikifuatiwa na Algeria

Morocco ni timu ambayo nimetokea kuipenda sana ikifuatiwa na Algeria

Morocco National football team, ni timu ambayo nimetokea kuipenda sana, ikifuatiwa na Algeria National football team, nawakubali sana. Hata wakikutana na Taifa Stars nitashabikia moja kati ya hizo timu pendwa.

Kwa hiki kilichotokea kwa mkapa baada ya game kumalizika na ushindi wa mabao mawili dhidi ya Taifa Stars, ni dhahiri Morocco inapendeka/inakubalika, the best team in Afrika namba 1

Angalia hapa, timu bora Afrika, yenye mastaa wanaokipiga nje ndani, kila mmoja pale anatamani kupiga nao picha kama kumbukumbu.


View: https://www.instagram.com/reel/Cz9lHTjr925/?igshid=MzRlODBiNWFlZA==

God bless Morocco players 🇲🇦 you are the best!

Kama wawapenda olewa nao wakakucharange
 
Morocco National football team, ni timu ambayo nimetokea kuipenda sana, ikifuatiwa na Algeria National football team, nawakubali sana. Hata wakikutana na Taifa Stars nitashabikia moja kati ya hizo timu pendwa.

Kwa hiki kilichotokea kwa mkapa baada ya game kumalizika na ushindi wa mabao mawili dhidi ya Taifa Stars, ni dhahiri Morocco inapendeka/inakubalika, the best team in Afrika namba 1

Angalia hapa, timu bora Afrika, yenye mastaa wanaokipiga nje ndani, kila mmoja pale anatamani kupiga nao picha kama kumbukumbu.


View: https://www.instagram.com/reel/Cz9lHTjr925/?igshid=MzRlODBiNWFlZA==

God bless Morocco players 🇲🇦 you are the best!

Acha ujinga, unapenda timu ambayo waliukataa Uafrika wao wakati wa kombe la dunia! Hawa wanatakiwa kuchukiwa na waafrika wote.
 
Acha ujinga, unapenda timu ambayo waliukataa Uafrika wao wakati wa kombe la dunia! Hawa wanatakiwa kuchukiwa na waafrika wote.

Una uhakika gani kama wameukataa uafrika?

Kwahiyo ukiwachukia wewe, unataka na wengine wawachukie!!

Acha ubaguzi, fanya kazi
 
Una uhakika gani kama wameukataa uafrika?

Kwahiyo ukiwachukia wewe, unataka na wengine wawachukie!!

Acha ubaguzi, fanya kazi
Neno ubaguzi linatumika sana pale mtu anataka kurazimisha hoja yake. Kwa bahati mbaya Waafrika wengi tunapenda kuwatetea watu wanaochukia rangi nyeusi. Kama sakata la huyu kapteni wa timu ya kandanda ya Morocco lilikupita pasi jikumbushe.
 

Attachments

  • Screenshot_20240119_121928_WhatsApp.jpg
    Screenshot_20240119_121928_WhatsApp.jpg
    124.4 KB · Views: 5
Morocco National football team, ni timu ambayo nimetokea kuipenda sana, ikifuatiwa na Algeria National football team, nawakubali sana. Hata wakikutana na Taifa Stars nitashabikia moja kati ya hizo timu pendwa.

Kwa hiki kilichotokea kwa mkapa baada ya game kumalizika na ushindi wa mabao mawili dhidi ya Taifa Stars, ni dhahiri Morocco inapendeka/inakubalika, the best team in Afrika namba 1

Angalia hapa, timu bora Afrika, yenye mastaa wanaokipiga nje ndani, kila mmoja pale anatamani kupiga nao picha kama kumbukumbu.


View: https://www.instagram.com/reel/Cz9lHTjr925/?igshid=MzRlODBiNWFlZA==

God bless Morocco players 🇲🇦 you are the best!

Me Ghana na senegal
 
Neno ubaguzi linatumika sana pale mtu anataka kurazimisha hoja yake. Kwa bahati mbaya Waafrika wengi tunapenda kuwatetea watu wanaochukia rangi nyeusi. Kama sakata la huyu kapteni wa timu ya kandanda ya Morocco lilikupita pasi jikumbushe.

Siku hizi mtu anaweza akafanya editing, hakuna ukweli wowote hapo.

Kama ametamka mimi naona yupo sahihi kabisa na wala hakukosea, wao ni waarabu na sio watu weusi, bali ni (WA AFRIKA)
 
Back
Top Bottom