kwaiyo kinachosubiriwa mtu kubakwa mandeπ§πππ₯πππ
Wakuu ....kitaalamu tunaitaje hii
Taarifa Kutoka Morocco hadi sasa tayari tiketi zote majukwaa ya zone 4 na zone 7 zimekwisha.[emoji119]Na leo tiketi za Zone 5 zimekwisha Sasa zilizobaki ni hizi za mabosi VVIP je Mwekezaji atakuwepo nae Casablanca Kama alivyokuwa kwa mkapa.
NB;Kwa wale ambao wameshaingia Uwanja wa mkwakwani Tanga ni sawa tu nakusema jukwaa la urusi limeshajaa[emoji119][emoji23].
NB: picha haihusiani na mada ..... nmejaribu kutabiri[emoji23][emoji23]View attachment 2598496
Kama wanapewa ni vizr ...kuliko ahadi hewaNadhani ambacho kimekuwa kinaiharibia Simba mara kwa mara hasa kwenye hatua hizi za mtoano ni ahadi ambazo wachezaji binafsi wanapewa. Unajua ile mchezaji anapigiwa simu na mtu anaambiwa ukifunga kila goli milioni 2, mtu kama Chama anaweza kuingia kwenye gemu ana jumla ya ahadi hata za milioni 20 akifunga goli, hii inaivuruga sana timu, wachezaji hasa washambuliaji wanakuwa na papara halafu unakuta ni wachezaji wawili watatu ndiyo wamepewa ahadi kwa hiyo spirit ya umoja katika timu inavurugika.
Mechi na Orlando, Kaizer ya marudiano, hii ya juzi ya Wydad, Simba ilipoteza nafasi za kutosha nadhani kutokana na sababu hii.
Naona tunawakuza sana hawa Wydad,mbona wanafungika?mwalimu aandae vijana vizuri tu mwarabu anakufa kwao.
Mnahangaika kama kuku watetea waliotayari kutaga..
Huyo wydad anafungwa tuko hapa...tunzeni comment yangu
Sasa wanakoseaa, ndo maana kunakua na uchoyo na ubinafsii mwingii aaaah.Nadhani ambacho kimekuwa kinaiharibia Simba mara kwa mara hasa kwenye hatua hizi za mtoano ni ahadi ambazo wachezaji binafsi wanapewa. Unajua ile mchezaji anapigiwa simu na mtu anaambiwa ukifunga kila goli milioni 2, mtu kama Chama anaweza kuingia kwenye gemu ana jumla ya ahadi hata za milioni 20 akifunga goli, hii inaivuruga sana timu, wachezaji hasa washambuliaji wanakuwa na papara halafu unakuta ni wachezaji wawili watatu ndiyo wamepewa ahadi kwa hiyo spirit ya umoja katika timu inavurugika.
Mechi na Orlando, Kaizer ya marudiano, hii ya juzi ya Wydad, Simba ilipoteza nafasi za kutosha nadhani kutokana na sababu hii.
Hapana. Hiyo imekuwa inavunja spirit ya timu na kufanya wachezaji kujitafutia mafanikio binafsi. Goli nyingi zilizokoswa mechi ya Wydad zilikuwa ni kwa sababu mchezaji hataki kumpasia mwenzake aliye kwenye nafasi nzuri zaidi ya kufunga. Matokeo yake Simba wamekuwa wanatolewa katika mazingira ambayo unaona kabisa walikuwa na nafasi ya kuvuka.Kama wanapewa ni vizr ...kuliko ahadi hewa
Matokeo ya half time umewapendelea!π§πππ₯πππ
Wakuu ....kitaalamu tunaitaje hii
Taarifa Kutoka Morocco hadi sasa tayari tiketi zote majukwaa ya zone 4 na zone 7 zimekwisha.[emoji119]Na leo tiketi za Zone 5 zimekwisha Sasa zilizobaki ni hizi za mabosi VVIP je Mwekezaji atakuwepo nae Casablanca Kama alivyokuwa kwa mkapa.
NB;Kwa wale ambao wameshaingia Uwanja wa mkwakwani Tanga ni sawa tu nakusema jukwaa la urusi limeshajaa[emoji119][emoji23].
NB: picha haihusiani na mada ..... nmejaribu kutabiri[emoji23][emoji23]View attachment 2598496
Tutafurahi Maana tutakuwa tunaelekea kuchukua makombe mawili makubwa barani Afrika!Mala paaap...Simba nusu fainali, khekhekheee
Hapo hapiti mtu mkuuTutatoboa kweliii
Ubavu huo haupo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu watazimiaa mbna,
Haya sawaa π€π€Mnahangaika kama kuku watetea waliotayari kutaga..
Huyo wydad anafungwa tuko hapa...tunzeni comment yangu