Morocco: Tiketi za mechi ya Wydad na Simba zaisha

Morocco: Tiketi za mechi ya Wydad na Simba zaisha

𝗧𝗔𝗔π—₯π—œπ—™π—”

Wakuu ....kitaalamu tunaitaje hii

Taarifa Kutoka Morocco hadi sasa tayari tiketi zote majukwaa ya zone 4 na zone 7 zimekwisha.[emoji119]Na leo tiketi za Zone 5 zimekwisha Sasa zilizobaki ni hizi za mabosi VVIP je Mwekezaji atakuwepo nae Casablanca Kama alivyokuwa kwa mkapa.

NB;Kwa wale ambao wameshaingia Uwanja wa mkwakwani Tanga ni sawa tu nakusema jukwaa la urusi limeshajaa[emoji119][emoji23].


NB: picha haihusiani na mada ..... nmejaribu kutabiri[emoji23][emoji23]View attachment 2598496
kwaiyo kinachosubiriwa mtu kubakwa mande
 
Mi sioni ukali wa wydad kwa sasa kiasi hiko tunachowakuza... Ingekua Raja kweli [emoji23][emoji23]
Watani mkikaza mnatoboa tutawapa Morrison aka assist huko
 
20230425_124630.jpg
 
Nadhani ambacho kimekuwa kinaiharibia Simba mara kwa mara hasa kwenye hatua hizi za mtoano ni ahadi ambazo wachezaji binafsi wanapewa. Unajua ile mchezaji anapigiwa simu na mtu anaambiwa ukifunga kila goli milioni 2, mtu kama Chama anaweza kuingia kwenye gemu ana jumla ya ahadi hata za milioni 20 akifunga goli, hii inaivuruga sana timu, wachezaji hasa washambuliaji wanakuwa na papara halafu unakuta ni wachezaji wawili watatu ndiyo wamepewa ahadi kwa hiyo spirit ya umoja katika timu inavurugika.

Mechi na Orlando, Kaizer ya marudiano, hii ya juzi ya Wydad, Simba ilipoteza nafasi za kutosha nadhani kutokana na sababu hii.
Kama wanapewa ni vizr ...kuliko ahadi hewa
 
Nadhani ambacho kimekuwa kinaiharibia Simba mara kwa mara hasa kwenye hatua hizi za mtoano ni ahadi ambazo wachezaji binafsi wanapewa. Unajua ile mchezaji anapigiwa simu na mtu anaambiwa ukifunga kila goli milioni 2, mtu kama Chama anaweza kuingia kwenye gemu ana jumla ya ahadi hata za milioni 20 akifunga goli, hii inaivuruga sana timu, wachezaji hasa washambuliaji wanakuwa na papara halafu unakuta ni wachezaji wawili watatu ndiyo wamepewa ahadi kwa hiyo spirit ya umoja katika timu inavurugika.

Mechi na Orlando, Kaizer ya marudiano, hii ya juzi ya Wydad, Simba ilipoteza nafasi za kutosha nadhani kutokana na sababu hii.
Sasa wanakoseaa, ndo maana kunakua na uchoyo na ubinafsii mwingii aaaah.

Km ile siku magoli ya wazi yalikosekana kisa uchoyo wa kupeana nafasi. Khaaah
 
Kama wanapewa ni vizr ...kuliko ahadi hewa
Hapana. Hiyo imekuwa inavunja spirit ya timu na kufanya wachezaji kujitafutia mafanikio binafsi. Goli nyingi zilizokoswa mechi ya Wydad zilikuwa ni kwa sababu mchezaji hataki kumpasia mwenzake aliye kwenye nafasi nzuri zaidi ya kufunga. Matokeo yake Simba wamekuwa wanatolewa katika mazingira ambayo unaona kabisa walikuwa na nafasi ya kuvuka.

Ahadi sahihi ni kwa timu nzima kama itapata ushindi.
 
𝗧𝗔𝗔π—₯π—œπ—™π—”

Wakuu ....kitaalamu tunaitaje hii

Taarifa Kutoka Morocco hadi sasa tayari tiketi zote majukwaa ya zone 4 na zone 7 zimekwisha.[emoji119]Na leo tiketi za Zone 5 zimekwisha Sasa zilizobaki ni hizi za mabosi VVIP je Mwekezaji atakuwepo nae Casablanca Kama alivyokuwa kwa mkapa.

NB;Kwa wale ambao wameshaingia Uwanja wa mkwakwani Tanga ni sawa tu nakusema jukwaa la urusi limeshajaa[emoji119][emoji23].


NB: picha haihusiani na mada ..... nmejaribu kutabiri[emoji23][emoji23]View attachment 2598496
Matokeo ya half time umewapendelea!
 
Back
Top Bottom