Morocco: Tiketi za mechi ya Wydad na Simba zaisha

Morocco: Tiketi za mechi ya Wydad na Simba zaisha

𝗧𝗔𝗔𝗥𝗜𝗙𝗔

Wakuu ....kitaalamu tunaitaje hii

Taarifa Kutoka Morocco hadi sasa tayari tiketi zote majukwaa ya zone 4 na zone 7 zimekwisha.[emoji119]Na leo tiketi za Zone 5 zimekwisha Sasa zilizobaki ni hizi za mabosi VVIP je Mwekezaji atakuwepo nae Casablanca Kama alivyokuwa kwa mkapa.

NB;Kwa wale ambao wameshaingia Uwanja wa mkwakwani Tanga ni sawa tu nakusema jukwaa la urusi limeshajaa[emoji119][emoji23].


NB: picha haihusiani na mada ..... nmejaribu kutabiri[emoji23][emoji23]View attachment 2598496

Tunamfunga huyo kwake na hamtaamini.
 
Ogopa sana unapopambana na mtu ambaye hana cha kupoteza. Wydad ana vingi vya kupoteza katika gemu ile na Simba hana cha kupoteza. Jeshi langu likitulia linaenda kuweka historia mpya.

Binafsi napenda sana moments kama hizo, ni moments za kujidhihirisha wewe ni nani na kukata kauli za wanaokubeza.
Haswaaaa yaan.

Unajua mwaka jana, kule south alitufelisha Mugalu, pia ktk penalty kicks wachezaji wetu walikua waoga, walishapoteza confidence.

Mwakaa huu wakakazee mbna tunaweza toboaa
 
Hawa jamaa inaonekana wana rekodi nzuri sana wakiwa kwenye uwanja wao wa nyumbani na inaonekana vilevile kwamba hawatilii maanani sana mechi za ugenini.

Ukiangalia utaona wanashinda kwa margin kubwa sana wakiwa nyumbani wakati wakiwa ugenini pia wanapoteza kwa margin ndogo sana na takwimu hizo ndizo zinaiweka Simba kwenye wakati mgumu sana.
 
Hamna cha kupoteza maana wengi wameshakatia tamaa Simba kupata matokeo mazuri, kwa hiyo wachezaji hawabebi mzigo wa matarajio makubwa kulinganisha na Wydad. Hii ni faida kwa Simba.

Wydad wameondoka na watacheza kwa pressure kubwa sana na dakika 30 za mwanzo wasipopata goli na Simba wakionekana kuumudu mchezo, jamaa watachanganyikiwa.
Na ndo kinachotakiwa ni umakini wa wachezaji ktk pitch, yaan natamani tuingie semi final kwa kumtoa bingwa mtetezii.
 
Hawa jamaa inaonekana wana rekodi nzuri sana wakiwa kwenye uwanja wao wa nyumbani na inaonekana vilevile kwamba hawatilii maanani sana mechi za ugenini.

Ukiangalia utaona wanashinda kwa margin kubwa sana wakiwa nyumbani wakati wakiwa ugenini pia wanapoteza kwa margin ndogo sana na takwimu hizo ndizo zinaiweka Simba kwenye wakati mgumu sana.
Yaaah kama uliona vizr walikuwa hawataki kuruhusu goli la pili

Hadi walianza kucheza Kwa vurugu
 
Haswaaaa yaan.

Unajua mwaka jana, kule south alitufelisha Mugalu, pia ktk penalty kicks wachezaji wetu walikua waoga, walishapoteza confidence.

Mwakaa huu wakakazee mbna tunaweza toboaa
Nadhani ambacho kimekuwa kinaiharibia Simba mara kwa mara hasa kwenye hatua hizi za mtoano ni ahadi ambazo wachezaji binafsi wanapewa. Unajua ile mchezaji anapigiwa simu na mtu anaambiwa ukifunga kila goli milioni 2, mtu kama Chama anaweza kuingia kwenye gemu ana jumla ya ahadi hata za milioni 20 akifunga goli, hii inaivuruga sana timu, wachezaji hasa washambuliaji wanakuwa na papara halafu unakuta ni wachezaji wawili watatu ndiyo wamepewa ahadi kwa hiyo spirit ya umoja katika timu inavurugika.

Mechi na Orlando, Kaizer ya marudiano, hii ya juzi ya Wydad, Simba ilipoteza nafasi za kutosha nadhani kutokana na sababu hii.
 
Back
Top Bottom