Morogoro: Atuhumiwa kula njama kumuua mumewe ili ale raha na bodaboda

Morogoro: Atuhumiwa kula njama kumuua mumewe ili ale raha na bodaboda

Mkuu dah nadhani na wewe pia ni mhanga kwa jazba hizi?

Kwa taarifa yako married pussies are the sweetest. Kina Daudi Suleiman samsoni kwenye bible walikuwa wanagonga married pussiies lakini Mungu bado aliwakubali hadi kuwatokea kupitia manabii sembuse sisi na mabodaboda Mungu hatujui tuna mitume ya ajabu ajabu kina mwamposa Joe devi?
Tuko na wewe mpaka wakutoe rinda
 
Nakwambiaje, the motive behind murder sio mirathi ni mapenzi tu.
Wamuuwe wao waendelee na yao.
Mimi nshadate mke wa mtu akataka twende tukaloge mumewe waachane nikatoka nduki. Sasa ningemwambia tumuuwe unadhani asingekubali?
Ni mapenzi tu.
Mapenzi na njaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unadhani boda ni boyaa? Alishajua kuna maokoto ya mirathi hapo atatusua sana tyuuh.

Km ni mapenzi, si angeshauri kivyovyote huyo mke aachane na mumewe, bila kuuana.
 
Back
Top Bottom