Morogoro: Atuhumiwa kula njama kumuua mumewe ili ale raha na bodaboda

Tuko na wewe mpaka wakutoe rinda
 
Nakwambiaje, the motive behind murder sio mirathi ni mapenzi tu.
Wamuuwe wao waendelee na yao.
Mimi nshadate mke wa mtu akataka twende tukaloge mumewe waachane nikatoka nduki. Sasa ningemwambia tumuuwe unadhani asingekubali?
Ni mapenzi tu.
Mapenzi na njaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unadhani boda ni boyaa? Alishajua kuna maokoto ya mirathi hapo atatusua sana tyuuh.

Km ni mapenzi, si angeshauri kivyovyote huyo mke aachane na mumewe, bila kuuana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…