Chalii Wa Kipare
JF-Expert Member
- Jul 12, 2013
- 462
- 907
Kwani wewe umekwisha olewa? Labda tuanzie hapo kwanza?Wanandoa wapewe somo, ndoa ikishavurugika bora kutengana. Kuliko kurudishwa kwenu ndani ya jeneza, kwasababu ya mauhusiano au ndoa. RIP Mwl Tungaraza.
Inaonekana hujui hata maana ya shombeshombeMwanamke mzuri tena kama shombeshombe
You are missing my point.And a poor man can make a good wife turn into a devil.
BalaaSio moja, tatu bila.
I would rather be rich and have a bad wife too. Being poor with a good wife ni stress vile vile. Sasa bora kusolve tatizo moja.And a poor man can make a good wife turn into a devil.
Mkuu,Inaonekana hujui hata maana ya shombeshombe
Mada ni Marehemu, mkewe na bodaboda, simimi, stick kwenye mada.Kwani wewe umekwisha olewa? Labda tuanzie hapo kwanza?
Nimeshangaa sana eti kama shombeshombeMkuu,
Kwa faida ya wengi 😊 tumsaidie maana ya shombe shombe ikiwezekana na picha KABISA
Sio kawaida, ndio maana ilibid ampe hiyo adhab huyo dogo.Kula tako ni kawaida? Mbona mashoga wanaoliwa tako kwa ridhaa yao hamuwataki na mnasema ni laana?
Hivi akili zenu huwa zipo sawaa?
KabisaMwanamke akichepuka ukamsamehe unajiandalia kaburi lako, over!
Tuishi nao kwa akiliHao ndio wanawake
Tuishie hapo, ungenijibu tungepata msingi mzuri lkn kwa7bu umekataa basi isiwe kesi.Mada ni Marehemu, mkewe na bodaboda, simimi, stick kwenye mada.
Tuko na wewe mpaka wakutoe rindaMkuu dah nadhani na wewe pia ni mhanga kwa jazba hizi?
Kwa taarifa yako married pussies are the sweetest. Kina Daudi Suleiman samsoni kwenye bible walikuwa wanagonga married pussiies lakini Mungu bado aliwakubali hadi kuwatokea kupitia manabii sembuse sisi na mabodaboda Mungu hatujui tuna mitume ya ajabu ajabu kina mwamposa Joe devi?
Mateso kuhangaikaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]WANAUME tuna taabu sana, hapa ndipo ninapomkumbuka (TX MOSHI ) "Wanaume tumeumbwa mateso"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo ukweli wenyewee.Mie sijaoa kiongozi lakini nimeshaishi na bodaboda na nina mchzi wangu ndio aliniambia yeye alikuwa boda
Yani we acha tuMateso kuhangaikaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mapenzi na njaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakwambiaje, the motive behind murder sio mirathi ni mapenzi tu.
Wamuuwe wao waendelee na yao.
Mimi nshadate mke wa mtu akataka twende tukaloge mumewe waachane nikatoka nduki. Sasa ningemwambia tumuuwe unadhani asingekubali?
Ni mapenzi tu.