cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Wanagongewa na wauza magenge au waha wakopesha vyombo.Pia hao bodaboda wanagongewa wake zao wakiwa kazini ni cycle
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanagongewa na wauza magenge au waha wakopesha vyombo.Pia hao bodaboda wanagongewa wake zao wakiwa kazini ni cycle
Yule dada aliyeuliwa Goba hakuwa kwenye ndoa ni walikuwa wapenzi hata usipo kuwa kwenye ndoa unaweza kuuliwa na mpenziTukisema msikimbilie kuoa mnaanza kutuita mashoga.
Sasa pambaneni na hali zenu.
Mwamba kauawa kikatili sana aisee 😭😭
Hamna shombeshombe hapo sura ngumu kama kiporo cha ugali🤣🤣🤣Mwanamke mzuri tena kama shombeshombe
Jamaniiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukute alikuwa anapewa lift kisha bibie akampea kumshukuru akanogewa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]H
Hamna shombeshombe hapo sura ngumu kama kiporo cha ugali[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jamanii mbona mie niko tayarii, ushindwee wee mwenyewe tyuu.Sasa vipi ule mpango wetu wakukupachika mimba? Lazima tuache uzao hata tukiondoka duniani ili kizazi chetu kiendelee. Tuache alama madhubuti vizaz na vizaz.
Please babe!
Inasikitisha sanaNa kwenda honeymoon mwezi mzima ...kwenye harusi wakati mnaingia ukumbini mnacheza na kwaito kabisa huku mnabusiana kimahaba kumbe mmoja wenu ni marehem mtarajiwa atakayeuwawa na mwenzie.
Ingekua na Polisi wanachukulia mambo kirahisi kama ulivyochukulia wewe,Basi kusingekua hata na uchunguzi,Sasa hapo sababu kuu ipi hapo wakati usha ambiwa mwanamke kachonga mchongo ionekane wamevamiwa na mumewe kauawa ili msiba ukiisha aendelee ku enjoy na huyo boda wake kwa uhuru sasa na bodae boda angehamia kabisa waishi kindoa
Wanaume muache kung'ang'ania mahusiano. Sawa mke ni mrembo ila ndo hakutaki tena kamuelewa bodaboda!
Wakati mwingine ni bora kuomba yasikukute kuliko kuwalaumu wenzako. Mapemzi nikama ajali, wakati wewe unaendesha kwa umakini unasababishiwa ajali. Ukisema siwezi ua mtu kwa ajili ya mapenzi unauliwa kwasababu za kimapenzi.Wanaume muache kung'ang'ania mahusiano. Sawa mke ni mrembo ila ndo hakutaki tena kamuelewa bodaboda!
Uzuri wa nje sio wa ndaniMwanamke mzuri tena kama shombeshombe
Ajali kaziniHuyo mwalimu pia alikuwa boya.
Mwanamke anakusaliti unajua anakuomba msamaha unakubali.
Vifo vingine kujitakia