k2206
JF-Expert Member
- Apr 22, 2018
- 702
- 705
Umesema kweli iliyo haki.Kosa la Mke mmoja au tabia mbaya ya mke mmoja haiwezi kuwahukumu wanawake wote,
Mbona wapo Wanaume pia wanaoua wake zao?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesema kweli iliyo haki.Kosa la Mke mmoja au tabia mbaya ya mke mmoja haiwezi kuwahukumu wanawake wote,
Mbona wapo Wanaume pia wanaoua wake zao?
Mkuu kama ni mke wa mtu anatombesha kwa mwanaume mwingine huyo ni malaya au sio malaya?We una uhakika alikua malaya!?
Je kila anayechepuka basi alikua malaya!?
Futi hii kauli ya kitoto na kiduwanzi mkuu,hao viumbe ni wa kubadilika wakati wowote kiasi ukasema humjui kama ulivyokua wamjua zamani.
Kula tako ni kawaida? Mbona mashoga wanaoliwa tako kwa ridhaa yao hamuwataki na mnasema ni laana?Aisee. Mwanamke ukiona tu humuelewi elewi alooo achana nae mara moja..usije ukajipa moyo kuwa atabadilika. Achana nae mara moja..
Pia mshkaji kama alishamjua mpaka mgoni wake, kwann alimuacha hiv hiv, ilibid amkodie watu wamle tako iwe fundisho.
Hiyo ninyamaze sina jibu mkuu.Mkuu kama ni mke wa mtu anatombesha kwa mwanaume mwingine huyo ni malaya au sio malaya?
ni kweli ila kuna mda wazazi hua wanalalamika kumwambia mtoto wao,, sasa nawewe si uolewe ona fulani na fulani kaolewa,mimi mama ako nilipofikisha miaka kama yako nilikua ndani ya ndoa,,basi binti anaona sio kesi nitakua naenda kwa kina masanja wangu kimya kimya.Sio tu kuficha aibu ya familia...anakuwa ni malaya, nyumbani hakuna hata pesa ya kula, anaamua kuolewa ili angalau apate sehemu ya kula na kulala (sio kama anaolewa na mtu anaempenda). Akishaolewa, ndio sasa anaanza kutafuta Mapenzi ya mtu anaempenda. Maana sasa si ana sehemu ya kula, na kulala? Mwili umetulia sasa...na Nyege zinakuja vizuri..anashiba na kulala vizuri.
Hauna jibu kivipi wakati ni wazi huo ni umalaya.Hiyo ninyamaze sina jibu mkuu.
Yaani Show juu ya Show! Boda anasimamia ukucha🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu ukute anavuta Bangi, woiiiiih
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu anapiga rough, utaskia kilio cha mikito "pah pah pah"Yaani Show juu ya Show! Boda anasimamia ukucha[emoji1787]
Upuuzi tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu anapiga rough, utaskia kilio cha mikito "pah pah pah"
Afu anapulizia na kuhemea masikioni, mke wa mkuu anaona maisha c ndo haya,
Dakika zinazidi kwenda. Mbili moja.Wametufunga mbili. Tukio la Goba tulikuwa tunaongoza la Moshi wakawa wamesawazisha la Mang'ula naona wanaongoza tena
Upuuzi? Ndo maana mnachapiwaa na boda boda.Upuuzi tu
Demu wa ukweli kinyama. Uthibitisho kwamba yeye mke ndio amemuuwa haupo hapo. Hakuna aliyeshuhudia. Atarudi uraiani tuendelee kumpelekea moto.Mwanamke mzuri tena kama shombeshombe
Umewaza tu ila hatujui.Ushangae alikua anataka waachane jamaa ana ng’ang’ania
Wakati wa mahaba ndindiii mahaba moto moto kabla hawajavamiwa na ibilisiNa sare walishona Masikini!
Pole kwa wafiwa.
Malaya ni nani? Ukishatembea na mwanaume mwingine na una mume unakuwa Malaya tu, hakuna cheo kingins kitakachokufaa zaidi ya umalaya.We una uhakika alikua malaya!?
Je kila anayechepuka basi alikua malaya!?
Futi hii kauli ya kitoto na kiduwanzi mkuu,hao viumbe ni wa kubadilika wakati wowote kiasi ukasema humjui kama ulivyokua wamjua zamani.
Tunaambiwa Mwamba alienda kwa Kiongozi wa Kiroho kumsimulia madhila ya bibie, chaajabu Kiongozi akasema amvumilie atabadilika. Siunajua dini zingine mkishaoana mpaka mmoja afe😁😁😁. Hiyo biashara nikama kujitia kitanzi mwenyewe siwezi fanya🚮Mwanamke akishachepuka achana naye. Yaani ni udhaifu mkubwa mwanaume kwenda kushitaki kuomba watu wamseme mkeo na unakubali kurudiana naye.
Otherwise KATAA NDOA, NDOA NI UTAPELI
Useng sana kumsamehe mwanamke msaliti. Mimi mke wangu akinisaliti navunja ndoa hapo hapo.Kosa la marehemu lilianzia hapa,"Katibu huyo wa kitongoji amesema kuwa baada ya kupokea madai hayo mke wa Tungaraza aliitwa katika ofisi hizo na viongozi akiwemo yeye katibu na baada ya kuelezwa kile anachotuhumiwa mwanamke huyo alimuomba radhi mume wake (Tungaraza) na kumuahidi kujirekebisha hasa kitabia na hivyo wanandoa hao waliondoka na kwenda kuendelea na maisha kama kawaida".Alijua mkewe ana mahusiano na bodaboda akajifanya anaweza kusamehe na ku moveon...
Watengane kwa muda hadi shetani akipita wanarudianaWanandoa wapewe somo, ndoa ikishavurugika bora kutengana. Kuliko kurudishwa kwenu ndani ya jeneza, kwasababu ya mauhusiano au ndoa. RIP Mwl Tungaraza.