Sun is Sun
JF-Expert Member
- Mar 13, 2024
- 649
- 975
Samahani mi sikuuliza kwa ubaya.. Uwe na wakati mwemaNinazo zote unazozijua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samahani mi sikuuliza kwa ubaya.. Uwe na wakati mwemaNinazo zote unazozijua.
Jamani wanaume wenzangu ukiona mkeo amekusaliti na kuna migogoro haishi ndani ni bora ukamuacha kwa kuokoa uhai wakoHuyo ni mwalimu hapa Mang’ula kauawa kikatili na mkewe kapigwa na kitu kizito kichwani ubongo ukamwagika. Ni ukatili mkubwa na lengo lake awe huru kujivinjari na kijana wa nje ambaye ni Bodaboda...
Ndomana wanafikia kuuwana sasa kama unavyoona. Iyo sio nzuri..SIO balaa HIO inaitwa alikiunganisha MUNGU usicheze na MUNGU ukiunganishwa hata wewe mwenyewe hutakiwi kujitoa ushafungwa hilo gereza la milele hakuna kutoka HUMO hata iweje
haya mambo ndiyo hutufanya tusioe, tuwe tunapiga mashine tu na kusepa bila kuweka kambi tuishi pamoja. Kugongewa ni fedheha na dharau kubwa ndio maana wanaume wengi hawapendi kufanyiwa vitendo hivyo na wake zaoKuna Jamaa huku nilipo anatombewa na Boda tena hio Boda ndio inamwendesha mkewe mara kwa mara na Jamaa akisafiri tu Boda inakuja kulala na Mke wa Jamaa inapiga mashine kisawasawa, wanawake wana ROHO za Iblisi Shetani
Nahisi wewe ndugu yangu kabisa, Mang'ula nina ndugu zangu wengi sana waparee,,,, akina kicholi.Naishi karibu na sehemu hilo Tukio lilipotokea lkn kwa maumivu nilioyapata baada ya kusikia sikujaribu kusogea pale mpaka jamaa anasafirishwa kwenda huko kwao Ukerewe. Tunaoishi maenea haya tuliumia sana.
Imefika hatua mpka nikiona mtu anaoa namwona kama goigoi flani iv😁Tukisema msikimbilie kuoa mnaanza kutuita mashoga.
Sasa pambaneni na hali zenu.
Urembo wake upo wap apo?Wanaume muache kung'ang'ania mahusiano. Sawa mke ni mrembo ila ndo hakutaki tena kamuelewa bodaboda!
Nilivyoona hiyo picha ya nguo saresare halafu kitenge nikajua tu jamaa yuko na shida,Unashona naye hadi nguo za kitenge lakini wapi.. Hawa viumbe sijui wakoje yaani unamuua mmeo kisa mchepuko?
Dah jamaa anaonekana ni mnyonge mno walimu waongezewe mishahara kwa kweli.
kuna lingine limetokea hapa, vwawa songwe linafanana asilimia Mia na motoWametufunga mbili. Tukio la Goba tulikuwa tunaongoza la Moshi wakawa wamesawazisha la Mang'ula naona wanaongoza tena
bodaboda wenyewe wanakiri kujihusisha kimapenzi na wake za watu ukipiga nao stori hawabishi. Wanasema wakimpeleka mteja wao kunyanduliwa sehemu na wao huomba penzi, la sivyo watatoa siri. Tukisema bodaboda ni wahuni muwe mnatuelewa. Ni wadandiaji wa mapenzi ya wateja wao kwa kuwatishia kuwa watatoa siri kwa kuchora ramani ya fumanizi kwa wenye wake wanaonyanduliwa njeNilivyoona hiyo picha ya nguo saresare halafu kitenge nikajua tu jamaa yuko na shida,
Ushauri wangu naiomba serikali ifute bodaboda
Kuna tukio limetokea Mbozi@VwawaWametufunga mbili. Tukio la Goba tulikuwa tunaongoza la Moshi wakawa wamesawazisha la Mang'ula naona wanaongoza tena
Mkuu unalalamika kinoma, tatzo wake zenu wanatuelewa sisi kataa ndoa😁wengine wanakula mpaka vichaa wa majalalani na kuwapa mimba
Inasikitisha sanaNilivyoona hiyo picha ya nguo saresare halafu kitenge nikajua tu jamaa yuko na shida,
Ushauri wangu naiomba serikali ifute bodaboda
Lip tena.Kuna tukio limetokea Mbozi@Vwawa
Sijui kwanini hawajalitangaza
#YNWA