Katibu Tawala wa Wilaya ya Mvomero Mkoa wa Morogoro Said Nguya amekemea tabia iliyoanza kujengeka miongoni mwa vijana nchini ya kusifiana sifa za uongo wakiwa ana kwa ana ama kusemana vibaya.
Ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na vijana wa
Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Morogoro (MUM) na Chuo Kikuu Mzumbe katika Semina maalum iliyoandaliwa na Taasisi ya Tanzania Patriotic Organisation inayojishughulisha na uhamasishaji uzalendo kwa vijana.
Amesema Rais Samia Suluhu Hassan anawapenda vijana na kwenye kila fursa lazima aguse kundi hilo, lakini vijana wenyewe kwa wenyewe wamekuwa mstari wa mbele kusemeana mabaya, jambo ambalo lisipokemewa litaota mizizi na baadaye kuwa na Taifa lisilo na staha.
Katibu Tawala wa Wilaya ya Mvomero Mkoa wa Morogoro @saidnguya amekemea tabia iliyoanza kujengeka miongoni mwa vijana nchini ya kusifiana sifa za uongo wakiwa ana kwa ana ama kusemana vibaya.
Ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na vijana wa
Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Morogoro (MUM) na Chuo Kikuu Mzumbe katika Semina maalum iliyoandaliwa na Taasisi ya Tanzania Patriotic Organisation inayojishughulisha na uhamasishaji uzalendo kwa vijana.
Amesema Rais Samia Suluhu Hassan anawapenda vijana na kwenye kila fursa lazima aguse kundi hilo, lakini vijana wenyewe kwa wenyewe wamekuwa mstari wa mbele kusemeana mabaya, jambo ambalo lisipokemewa litaota mizizi na baadaye kuwa na Taifa lisilo na staha.
WAKUU UKISHASOMA NAOMBA UPITIE UZI WANGU NA IKIKUPENDEZA NAOMBA KURA YAKO
Tanzania tuitakayo baada ya miaka mitatu SERIKALI IWAUNGANISHIE WANANCHI UMEME BURE, WAKATWE KWENYE LUKU, KAYA MASIKINI TASAF IWEKE UTARATIBU WA KUWALIPIA Gharama za kuunganishiwa Umeme ni Kubwa sana kwa mujibu wa Tovuti rasmi ya Tanesco imeweka gharama za kuunganishiwa umeme ni kama ifuatavyo...