Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wanajuanaa vizuri tuNa unakuta namba za usajili wanazifahamu polisi 😔
Hata wiki haijaisha maeneo hayo hayo wananchi walifunga barabara aligongwa wanafunzi na gari la serikali nilikuwa nawahi dodoma alfajir nikakutana na hicho kisa bahati mzuri mh. Jafo alitumia busara kusawazisha mambo wananchi wakaelewa tukapita leo tena nyingine!Mwili wa mwanafunzi Yulia Samson Difrata, mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika Shule ya Sekondari Chigela, umeondolewa eneo la ajali, katika Kijiji cha Tabu Hotel, Kitongoji cha Stendi, wilayani Gairo, mkoani Morogoro ambapo inadaiwa mwanafunzi huyo amegongwa na gari la serikali ambalo halikusimama baada ya kumgonga.
Adui wa Mwafrika ni mwafrika mwenyewe! Mungu tusaidie sana! Poleni kwa familia ya Yulia Samson Difrata. Mpaka natetemeka sijui hawa watu wana roho gani tu?
Duuh 😔Hata wiki haijaisha maeneo hayo hayo wananchi walifunga barabara aligongwa wanafunzi mtoto na gari la serikali nilikuwa nawahi dodoma alfajir nikakutana na hicho kisa bahati mzuri mh. Jafo alitumia busara kusawazisha mambo wananchi wakaelewa tukapita
Damu ya MTU haiendi bure mkuu.Huu ni ushenzi na unyama wa hali ya juu. Unamgonga na gari binadamu mwenzako alafu hakuna kusimama asee. Mkapa hakukosea kutuita MalofaNdo imeisha ivo, utaambiwa uchunguzi unaendelea na huku familia ikiumia kwa kumpoteza mwanafamilia mdogo kabisa.