Morogoro: Gari la Serikali limegonga na kuua mwanafunzi

Hata wiki haijaisha maeneo hayo hayo wananchi walifunga barabara aligongwa wanafunzi na gari la serikali nilikuwa nawahi dodoma alfajir nikakutana na hicho kisa bahati mzuri mh. Jafo alitumia busara kusawazisha mambo wananchi wakaelewa tukapita leo tena nyingine!
 
Hata wiki haijaisha maeneo hayo hayo wananchi walifunga barabara aligongwa wanafunzi mtoto na gari la serikali nilikuwa nawahi dodoma alfajir nikakutana na hicho kisa bahati mzuri mh. Jafo alitumia busara kusawazisha mambo wananchi wakaelewa tukapita
Duuh 😔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…