DOKEZO Morogoro: Kuharibika kwa daraja la miti la milioni 31

DOKEZO Morogoro: Kuharibika kwa daraja la miti la milioni 31

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Hizo kingo huko pembeni sasa 😆 hazifai hata kuchomea ndafu
 
View attachment 2463055

Kwanza tunashukuru Serikali kwa kutuletea daraja la muda kwa wakazi wa kata ya Mngeta, limetusaidia Sana katika kuepukana na adha ya mto Mngeta hasa hasa Tatizo la Mamba.

Hivi karibuni kulifanyika ukabati wa korongo linalojulikana Kama "Madandoni" ktk ukarabati huo wajengaji waliinua tuta kubwa na kufukia makaravati matatu ambayo husaidia kupitisha maji toka upande mmoja kwenda mwingine.

Juzi kuamkia Jana yametokea mafuriko makubwa yaliyoleta madhara makubwa Sana;

1) kuvunjika kwa lile daraja
Hii inanesabishwa na maji kushindwa kupata njia sahihi ya kupita baada ya makaravati matatu Yale kufukiwa hivyo kumpelekea kutafuta njia mbadala na pia kubeba magogo makubwa Hadi kuvunja nguzo za daraja.

2) Kuharibika kwa korongo la Madandoni
Hii imesababishwa na uzembe wa mafundi waliojenga lile tuta kubwa, maji yapojaa yakakosa njia yakaoasua barabara kwenye yale Yale makaravati yake matatu ya Asili,

3) mafuriko mashambani
Kwa kawaida mwezi 12 huwa hauna mafuriko lakini kutokana na uzembe wa wahandisi imepelekea kuleta mafuriko mashambani, watu walishapanda mpunga hivyo wamepata hasara kubwa Sana.

4) kukatika kwa mawasiliano ya miundombinu
Barabara hii inahudumia maelfu wa watu vijiji vingi Sana Mgudeni, Isago, mkangawalo, Ilole, Itongowa, Mngeta, mchombe, Lukolongo n.k kote hutumia daraja hili, kwa Sasa Hali Ni mbaya na Ni ngumu kupitika.

MAOMBI
~ Tunaomba Serikali itusaidie kwa haraka Sana kutatua hii changamoto.

~ Mkuu wa wilaya hatuna (wilaya ya Mlimba), tuna mkurugenzi tu, mbunge Kunambi, Diwani, ofisi ya Tarura, Ofisi ya Waziri mkuu (kitengo Cha maafa) n.k tunaomba msaada wenu haraka ili kutusaidia kupata ufumbuzi wa daraja na lile korongo la Madandoni.

~ Tunaelekea msimu wa mvua kubwa na masika wananchi tutataabika Sana, Mto Mngeta mamba wengi Sana kwa Sasa Ni hatari kubwa iko mbele yetu.

~ Tunaomba Sana hatua za haraka zifanyike kutusaidia wananchi.

Ushauri
~ Tunaomba Serikali isaidie kusimamia mazingira vizuri, watu wanalima Hadi mtoni hii inapelekea kina Cha mto kupungua na kusababisha mafuriko.

Walau watu wangeacha kulima mita 20 Hadi 30 tu nje ya mita 60 zile za sheria ya mazingira ya 2004.

Naambatanisha picha.
View attachment 2463059

View attachment 2462997

View attachment 2463051
Hii ni picha ya lile korongo linalojulikana Kama Madandoni baada ya kuharibika.

Update
Leo asubuhi daraja limekatika loteee katikati, hakuna mawasiliano kabisa!
View attachment 2463056
Mbona haya madaraja yako tofauti na mazingira ya madaraja haya ni tofauti?
 
Wahusika wanalifanyia kazi..poleni kwa usumbufu uliojitokeza.
 
View attachment 2463055

Kwanza tunashukuru Serikali kwa kutuletea daraja la muda kwa wakazi wa kata ya Mngeta, limetusaidia Sana katika kuepukana na adha ya mto Mngeta hasa hasa Tatizo la Mamba.

Hivi karibuni kulifanyika ukabati wa korongo linalojulikana Kama "Madandoni" ktk ukarabati huo wajengaji waliinua tuta kubwa na kufukia makaravati matatu ambayo husaidia kupitisha maji toka upande mmoja kwenda mwingine.

Juzi kuamkia Jana yametokea mafuriko makubwa yaliyoleta madhara makubwa Sana;

1) kuvunjika kwa lile daraja
Hii inanesabishwa na maji kushindwa kupata njia sahihi ya kupita baada ya makaravati matatu Yale kufukiwa hivyo kumpelekea kutafuta njia mbadala na pia kubeba magogo makubwa Hadi kuvunja nguzo za daraja.

2) Kuharibika kwa korongo la Madandoni
Hii imesababishwa na uzembe wa mafundi waliojenga lile tuta kubwa, maji yapojaa yakakosa njia yakaoasua barabara kwenye yale Yale makaravati yake matatu ya Asili,

3) mafuriko mashambani
Kwa kawaida mwezi 12 huwa hauna mafuriko lakini kutokana na uzembe wa wahandisi imepelekea kuleta mafuriko mashambani, watu walishapanda mpunga hivyo wamepata hasara kubwa Sana.

4) kukatika kwa mawasiliano ya miundombinu
Barabara hii inahudumia maelfu wa watu vijiji vingi Sana Mgudeni, Isago, mkangawalo, Ilole, Itongowa, Mngeta, mchombe, Lukolongo n.k kote hutumia daraja hili, kwa Sasa Hali Ni mbaya na Ni ngumu kupitika.

MAOMBI
~ Tunaomba Serikali itusaidie kwa haraka Sana kutatua hii changamoto.

~ Mkuu wa wilaya hatuna (wilaya ya Mlimba), tuna mkurugenzi tu, mbunge Kunambi, Diwani, ofisi ya Tarura, Ofisi ya Waziri mkuu (kitengo Cha maafa) n.k tunaomba msaada wenu haraka ili kutusaidia kupata ufumbuzi wa daraja na lile korongo la Madandoni.

~ Tunaelekea msimu wa mvua kubwa na masika wananchi tutataabika Sana, Mto Mngeta mamba wengi Sana kwa Sasa Ni hatari kubwa iko mbele yetu.

~ Tunaomba Sana hatua za haraka zifanyike kutusaidia wananchi.

Ushauri
~ Tunaomba Serikali isaidie kusimamia mazingira vizuri, watu wanalima Hadi mtoni hii inapelekea kina Cha mto kupungua na kusababisha mafuriko.

Walau watu wangeacha kulima mita 20 Hadi 30 tu nje ya mita 60 zile za sheria ya mazingira ya 2004.

Naambatanisha picha.
View attachment 2463059

View attachment 2462997

View attachment 2463051
Hii ni picha ya lile korongo linalojulikana Kama Madandoni baada ya kuharibika.

Update
Leo asubuhi daraja limekatika loteee katikati, hakuna mawasiliano kabisa!
View attachment 2463056
Nadhani watajenga mabey bridge ndio suluhisho la hapo maana daraja la Moto lilikuwa la mda kuwezesha mawasiliano ya haraka Ila hapo kunahitajika zaidi ya bil.3
 
View attachment 2463055

Kwanza tunashukuru Serikali kwa kutuletea daraja la muda kwa wakazi wa kata ya Mngeta, limetusaidia Sana katika kuepukana na adha ya mto Mngeta hasa hasa Tatizo la Mamba.

Hivi karibuni kulifanyika ukabati wa korongo linalojulikana Kama "Madandoni" ktk ukarabati huo wajengaji waliinua tuta kubwa na kufukia makaravati matatu ambayo husaidia kupitisha maji toka upande mmoja kwenda mwingine.

Juzi kuamkia Jana yametokea mafuriko makubwa yaliyoleta madhara makubwa Sana;

1) kuvunjika kwa lile daraja
Hii inanesabishwa na maji kushindwa kupata njia sahihi ya kupita baada ya makaravati matatu Yale kufukiwa hivyo kumpelekea kutafuta njia mbadala na pia kubeba magogo makubwa Hadi kuvunja nguzo za daraja.

2) Kuharibika kwa korongo la Madandoni
Hii imesababishwa na uzembe wa mafundi waliojenga lile tuta kubwa, maji yapojaa yakakosa njia yakaoasua barabara kwenye yale Yale makaravati yake matatu ya Asili,

3) mafuriko mashambani
Kwa kawaida mwezi 12 huwa hauna mafuriko lakini kutokana na uzembe wa wahandisi imepelekea kuleta mafuriko mashambani, watu walishapanda mpunga hivyo wamepata hasara kubwa Sana.

4) kukatika kwa mawasiliano ya miundombinu
Barabara hii inahudumia maelfu wa watu vijiji vingi Sana Mgudeni, Isago, mkangawalo, Ilole, Itongowa, Mngeta, mchombe, Lukolongo n.k kote hutumia daraja hili, kwa Sasa Hali Ni mbaya na Ni ngumu kupitika.

MAOMBI
~ Tunaomba Serikali itusaidie kwa haraka Sana kutatua hii changamoto.

~ Mkuu wa wilaya hatuna (wilaya ya Mlimba), tuna mkurugenzi tu, mbunge Kunambi, Diwani, ofisi ya Tarura, Ofisi ya Waziri mkuu (kitengo Cha maafa) n.k tunaomba msaada wenu haraka ili kutusaidia kupata ufumbuzi wa daraja na lile korongo la Madandoni.

~ Tunaelekea msimu wa mvua kubwa na masika wananchi tutataabika Sana, Mto Mngeta mamba wengi Sana kwa Sasa Ni hatari kubwa iko mbele yetu.

~ Tunaomba Sana hatua za haraka zifanyike kutusaidia wananchi.

Ushauri
~ Tunaomba Serikali isaidie kusimamia mazingira vizuri, watu wanalima Hadi mtoni hii inapelekea kina Cha mto kupungua na kusababisha mafuriko.

Walau watu wangeacha kulima mita 20 Hadi 30 tu nje ya mita 60 zile za sheria ya mazingira ya 2004.

Naambatanisha picha.
View attachment 2463059

View attachment 2462997

View attachment 2463051
Hii ni picha ya lile korongo linalojulikana Kama Madandoni baada ya kuharibika.

Update
Leo asubuhi daraja limekatika loteee katikati, hakuna mawasiliano kabisa!
View attachment 2463056
Milion 31 imepelekwa na maji.....

Tanzania haijapoa kwa matukio ya kipuuzi namna hii
 
Back
Top Bottom