Morogoro: Mama agoma mwanaye asizikwe, ataka mwili upelekwe kanisani aombewe ili afufuke

Mungu katuumba na akili na utashi kusudi tuweze kukabiliana na changamato tunazokutana nayo.

Unajua kabisa haya ni Malaria na dawa zake unazijua na pesa mfukoni unazo hutaki kutumia unataka kuombewa. Kama sio kumjaribu Mungu wako ni nini?
 
Huyo mama amegoma mwanawe kuzikwa anataka afufuliwe! Baba ya matehemu anataka mwanawe azikwe.
Unapoandika usipotoshe.
 
Mungu katuumba na akili na utashi kusudi tuweze kukabiliana na changamato tunazokutana nayo.

Unajua kabisa haya ni Malaria na dawa zake unazijua na pesa mfukoni unazo hutaki kutumia unataka kuombewa. Kama sio kumjaribu Mungu wako ni nini?
Umeonae! Yaani ilifika hatua mme wa huyo mama na mama mkwe wake wakatibuana sababu ya misimamo tofauti. Mama mtu anang'ang'ana bintie akaombewe kwa Mwamposa, lakini mme mtu anahitaji mke wake atibiwe hospital. Ila trials zote zilifanyika, mme mtu kaibuka mshindi, kwasababu kwa Mwwmposa hakuambulia chochote zaidi ya kuambiwa labda hakuwa na imani.
 
Waombezi matapeli, lengo lao ni pesa za hao waumini waliogeuka matahira !
 
Mama amechanganyikiwa. Hayupo sawa kabisa. Kufiwa na mtoto hakuna jina.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…