Morogoro mchele kg 100 imefika bei gani? Nataka nisafirishe mchele kutoka Moro to Dom

Morogoro mchele kg 100 imefika bei gani? Nataka nisafirishe mchele kutoka Moro to Dom

Zikuh de Hammer

New Member
Joined
Feb 12, 2024
Posts
2
Reaction score
0
Wanangu wa Morogoro hivi kg 100 ya mchele imefika bei gani?, nataka nisafirishe mchele kutoka Moro to Dom
 
Unataka usafirishe mchele ambao hujui hata bei yake ?

Anyway, wish u all the best, ila kibongo bongo, vitu kama mchele usiagize, make sure anaekuagizia unamuamin sanaaa, unaweza lipa grade A wakakuletea grade D- au ukaagiza kg 100 ukaletewa kg 95 😂😂 utapeli mwingi sana ukiagiza kwa simu
 
Unataka usafirishe mchele ambao hujui hata bei yake ?

Anyway, wish u all the best, ila kibongo bongo, vitu kama mchele usiagize, make sure anaekuagizia unamuamin sanaaa, unaweza lipa grade A wakakuletea grade D- au ukaagiza kg 100 ukaletewa kg 95 😂😂 utapeli mwingi sana ukiagiza kwa simu
Nilitaka kujua bei tu....ila kwenye issue ya kusafirisha lazima niufate na niuone kwanza
 
Njoo tuongee vizur,wiki kesho nakoboa mpunga wangu malinyi Morogoro, almost Tani 10.
 
Back
Top Bottom