Kama magari ni mengi ya kwenda mwanza na huna tiketi mpiga debe yuko sahihi anakuwa amekupeleka kwenye hilo gari A sababu pengine bila yeye ungeweza kwenda gari B na kumbuka sio abiria wote wanaufahamu wa magari ya huko anakoenda.Shangaa wewe, eti mtu umetoka zako nyumban unaenda kupanda gari ya kwenda mwanza afu kuna mtu anatokea hapo katikati anaseema amekuleta!
Ila siungi mkono wapiga debe.