Vitu vingne ni vya kujitakia....Acha aisomee NUMBER.....inajulikana kabsa huyu kipindi kile cha kampeni alikuwa TEAM LOWASSA afu na upuuzi wake anaimba nyimbo za kumkashifu RAIS afu aachwe.....yeye anadhani RAIS ni kama hao wasanii wenzake aliozoea kuwatukana.....
Ifikie mahali HESHIMA IWEPO KWA RAIS.....tena mimi ndiye ningekuwa ni RAIS i swear ningempeleka kwa MILITARY POLISI nimfundishe adabu maana alikuwa najaua kabsa OUT ya anacho kifanya kupitia huo wimbo.......Watu hawataki kabsa kujifunza kutokana na MAKOSA....how many times anaitwa BASATA kuonywa tokana na nyimbo zake...
Si anajua kuimba sana AACHE AKAWAIMBIE WAFUNGWA HUKO......