HesabuKali
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 2,791
- 5,687
WOCHI ITIUsidhani unaweza kuimba ukitakacho... not to that extent
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WOCHI ITIUsidhani unaweza kuimba ukitakacho... not to that extent
Jiongeze. We si mtu mzima au bado upo shule?Kwani wamesema kakamatiwa nini maana kakamatwa Moro town kapelekwa mvomero
Kwani wamesema kakamatiwa nini maana kakamatwa Moro town kapelekwa mvomero
Hata mtaani kwako wapo wanaousikili....? Wapo!!!Mimi nilikuwa siujui ndo naupiga sahizi kwenye sabufa mtaa mzima wamezima viredio vyao kuusikiliza...umehit
Pohamba ushageuka wenzio mara hii?bado lizaboni tu sasaKichaa wetu kawa Kama wale Mababu tuliokuwa tunawajambisha Utotoni
Nakuheshimu sana naomba nisikujibu maana na we nowadays ni walewale tu..
ACHA UPUUZI RAIA GANI HUYO ASIYE KUWA NA ADABU KWA VIONGOZI.....Huo ni uonevu wa waziwazi kwa raia
Amemkashifu Rais gani?Vitu vingne ni vya kujitakia....Acha aisomee NUMBER.....inajulikana kabsa huyu kipindi kile cha kampeni alikuwa TEAM LOWASSA afu na upuuzi wake anaimba nyimbo za kumkashifu RAIS afu aachwe.....