uporo wa wali ndondo
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,455
- 2,240
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]We mtu gani sasa hutaki kushauriwa,hutaki kukosolewa,
Umelogwa wewe unajiona ndugu yake na yesu eeeeh
[emoji1] [emoji1] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji1]
Kwa voice ya Nay wa mitego
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Hata upate Phd huwezi kupata Promotion bila ya kwenda kwny Mafunzo na kufuzu ( Mafunzo yote yanafanana uwe Daktari, fundi Umeme, Mwalimu, Mfagiaji wa Ofisi, Mhasibu n.k) ya Chuo cha Utumishi Tena hujipeleki Wewe Mwenyewe ,
itategemea Mahitaji ya Serikali, uwezo wa Chuo, Ruhusa ya Mwajiri na Bajeti ya Mwaka husika!
Hii serkali bado haijatambua kosa kubwa inalolifanya la kuwafanya watu kuonekana mashujaa (heros ) au kuwataftia kiki.
Kwa mfano, hivi sasa ni ukweli usiopingika kuwa ushindi wa kishindo wa Lissu ilibustiwa na ile hali ya kuwekewa vikwazo na serkal.
Nape leo anaonekana shujaa tu baada ya kuoneshewa bustola na askari aliyetumwa kumzuia asiongee na waandishi wa habari.
Leo lema naye hivyo hivyo. Anaonekana kama mandela wa Tanzania, baada yakufanyiwa figisufigisu za kumuweka gerezani takriban miez mitano.
Jana Mange kimambe kaweza fikisha one million followers sababu ya kupata umaarufu baada yà kushikilia kidedea vyeti vya Makonda. Yani hivi sasa followers wa mange wanaongezeka kwa 2k followers kwa siku huku followers wa makonda wakipungua kwa kasi.
Leo sasa Ney wa mitego inasemekana Tyar yupo mikononi mwa Polisi. Na sababu hasa itakuwa ni wimbo alioutoa juzi. ( jina sijafahamu unaitwaje ila kuna sehemu wanaitikia " wapo")
Siku ya leo habari za Ney kukamatwa zinaenea mitandaoni na vyombo vya habari vyote. Kesho ni front page magazetini. Na kila atakayepata hii habari lazima autafte huu wimbo ausikilize ili ajue Mantic ya uo wimbo kupelekea kukamatwa kwa Ney.
Kuja kufika kesho. Huu wimbo utakuwa ukipigwa kila mtaa. Hata wa kule kijijini kolomije mpka sasa watakuwa wamesha upata.
Serikali ingekaa kimya na kuupuuza huu wimbo basi hata wanaousikiliza wangeupuuza. Sasa kitakachotokea hivi sasa ni kila mtu atausikiliza ili ahoji ni kwa nini Ney akamatwe?
Nakumbuka kuna kipindi Nikk mbishi alitoa wimbo akimsifu kikwete. Cjui basata au TCRA wakamuita na kuufungia. Mi binafsi nilikuwa sijausikiliza maana si fani wake. Ila niliutafta nikausikiliza ili nijue kilichoimbwa mpaka ukafungiwa.
Katika hii dunia ya Utandawazi na Technology. Serikali inajisumbua kucontrol kila kitu wanachotaka wananchi wao wasikie au waambiwe. Yani hapa serkal IMECHEMSHA.
Walifanikiwa nini Pale walivyopiga marufuku wimbo wa Viva Roma 2015?
Serikali iconcentrate na Mambo ya kimaendeleo sio personality. VIWANDA HAVIJENGWI KWA KUMKAMATA NEY BHNA.
Kodi zetu Mnatumia ovyo hamtaki tuseme. Kama hamtaki kusemwa mstep down wapo ambao wapotyar kuongoza nchi na kukubali kukosolewa na Wananchi wao.
Haki ya mungu na hii mishahara mkia wa mbuzi tutakoma,hapa naona lengo ni kukomoa.
We ndo jiongeze kama kosa ni wimbo angerudishwa dar alipo utungia na kurecord
[emoji12][emoji12][emoji12]
Jk hakutuelewa! Tulipotaka Rais Kama Kagame tulimaanisha Mrefu na Mwembamba tu na si vinginevyo!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] cha ajabu wale tulioanza kazi mwaka mmoja wilaya tofauti walipanda madaraja mwaka 2015 kabla hajaingia huyu kichaa,sasa wengine tunaugulia na hatujui hatima yetu.
Kamtukana nani???!! Maana wakurupukaji hamkosekani hebu mtaje aliyetukanwaMnatukana uongozi afu mtataka tuwachangie mdhamana.
Acha kumlinganisha mbowe wewe. Mbwe angekuwa raisi asingembeba bashite.hapo sio serikali ndio inataka wimbo wa ney uwe mashuhuri,bali ni ney mwenyewe ndiye anayetafuta umashuhuri kupitia mgongo wa serikali, na ukizingatia alikuwa ameshaanza ku-fade kimziki....wimbo kama huo wa ney ata kama angekuwa mbowe ambaye ni muhini na ni mpenda democrasia wa chadema yeye ndio angekuwa raisi (kwa mfano) ni lazima angeupa promotion sana huo wimbo mpaka ungeenda kwenye mtv awards nk. neema wa mitego hapo ulipo tunga nawingine tena au remix yake.
Kamtukana nani???!! Maana wakurupukaji hamkosekani hebu mtaje aliyetukanwaMnatukana uongozi afu mtataka tuwachangie mdhamana.
Huyu hataki mambo ya Oprass ni Mwendo wa Mafunzo tu
kamtukana nani?Safi sana, ashughulikiwe ipasavyo, kucriticise ni haki ila kutukana ni jinai.
Hapakua na haja ya kuweka neno "kichaa", ndo mnafanya mitandao ya kijamii ionekane haifai[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] cha ajabu wale tulioanza kazi mwaka mmoja wilaya tofauti walipanda madaraja mwaka 2015 kabla hajaingia huyu kichaa,sasa wengine tunaugulia na hatujui hatima yetu.