We mtu gani hutaki kukosolewa..umerogwa....unajiona ndg yake na yesu...kichaa kapewa rungu....we huwa unaongea na baba yako hvo ata akiwa ana mapungufu..Katukana vipi? Hebu tutajie baadhi ya matusi aliyoyatoa...
Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi Mkoani Morogoro, Kamanda Ulrich Matei amethibitisha kukamatwa kwa msanii Nay wa Mitego usiku wa kuamkia leo mkoani Morogoro.
Kamanda Ulrich Matei ametoa sababu kubwa ya kukamatwa kwa msanii huyo ni kutokana na kutoa wimbo unaofahamika kwa jina la 'Wapo' ambao anadai unaikashfu Serikali iliyopo maradakani.
Kamanda Matei amesema shauri la Nay wa Mitego lipo jijini Dar es Salaam hivyo msanii huyo atasafirishwa na kupelekwa Dar es Salaam kuhojiwa kwa Mkuu wa Upelelezi wa mkoa.
Shule Kwanzaa mambo mengine badaePolice bana kweli shule muhimu sana
Siri-kali ya v-wonderNani katukanwa?
A kuwa muoga kama kunguru, tunahitaji ukombozi na saa Ni hiiNgoma ya Niki mbishi "Am sorry Jk"..haikua na tusi la aina yyte/lugha kali yyte ila BASATA wakaifungia..
Ss hii ya Ney wa mitego ni Dhahiri kavuka mipaka na kasahau Maadili ya kazi yake ya SANAA..
hoW comes useme "Naona kichaa kapewa Rungu" tht means tunaongozwa na mtu ambaye hajui analofanya/Hajielewi?!!.Line nynge inasema "Unajifanya nDugu yke yesu"..+"Kuna viongozi wanavuta Bangi, maana wana Maamuzi ya ki**nge"..
Hvi kweli nDio maana ya "msanii ni kioo cha Jamii?? Ama anatumiwa na Watu kuriDhisha matakwa yao?.
Kingine mkulu kishasema,Ukimpangia NDIO UNAKUA UNAHARIBU,.
Na alipaswa asome alama za Nyakati, ye haoni mkali wa kutunga Ngoma kali zenye mauDhui ya kisiasa "R.O.M.A" Katulia anausoma Upepo!!..
Kwa kifupi Jamaa KAKURUPUKa+KAJITAKIA MWENYEWE
[HASHTAG]#ACHAAISOMEnamba[/HASHTAG]
Hajataja jina la mtu kwenye huo wimbo mkuuSafi sana, ashughulikiwe ipasavyo, kucriticise ni haki ila kutukana ni jinai.