Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
watajeMbona wako wengi wakamatwe wote
Na kwanini aimbe yeye kumtukana mama yake na baba yake?Huyu ney analaana, kwanini asimbe wimbo wa kumtukana mama yake na baba yake kwanza. Nyimbo nyingi matusi makubwa hovyo hovyo. Na huu wimbo kuna watu wane wamemzamini, njaa mbaya sana. Mimi nashauri anyooshe ili kuanzia sasa awe na adabu
Daudi, huyu Sumve ni kijana wa Koromije... Fuatlitia utajua Koromije ilipoNani katukanwa?
Hili ni tusi kwa nani? Maana halijaenda kwa mtu specific! hata mashetani wana viongozi wao sasa tusaidie nani alietukanwa hapo; ila mi sijatukana[emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna viongozi.... maana wana mambo ya kis.....