Morogoro: Mwalimu mbaroni kwa kumbaka mwanafunzi wake

Sijui watu kama hao wangelikuwa wanahasiwa sijui lingepatikana kundi tena la kuwatetea!

Me naona kunyonga haitoshi, kuhasi ni zaidi ya kunyonga, maana ni sawa na kutobolewa macho ukubwani ili aanze kuona kwa kusimuliwa.
Itabidi sheria ibadilishwe maana hivi vitendo vya ubakaji vimezidi sana
 
Hivi hawa walimu wetu wamepatwa na ugonjwa gani? Thirty years is there, very vivid!! Hivi ni kitu gani?
 
Hivi dudu huwa inazama yote kweli kwa umri wa huyo mtoto na huyo jamaa mwenye 27 yrs ! wajuvi
 
Jamaa itakuwa kapiga wanafunzi kibao chuchu saa sita, akaona ngoja ashuke age aende kwa mtoto mdogo kabisa.
 
Ukute ticha alikuwa anadai mkataba wake wa kazi au marupurupu fulani ya ajira...

Shule ikaona huyu ataleta noma ngoja tulale nae mbele kwa stahili hii

Who knows who care?
 
Sijui watu kama hao wangelikuwa wanahasiwa sijui lingepatikana kundi tena la kuwatetea!

Me naona kunyonga haitoshi, kuhasi ni zaidi ya kunyonga, maana ni sawa na kutobolewa macho ukubwani ili aanze kuona kwa kusimuliwa.
Hakika......japo hukumu bado....ikithibitika AHASIWE....kumfunga maisha bado ataendelea kula kodi yetu, au kumnyonga umrmrahisishia safari yake.....yote.....sio suluhu.......AHASIWE arudi mtaani awe kiburudisho......kuna nchi wanakatwa ubolo hadharani...
 
Mkuu nchi gani hiyo?
Hili la kuhasiwa limeanza jimbo flani Nigeria.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…