Morogoro: RTO Tafadhali Shughulikia Trela Lililotelekezwa Mbugani Mikumi Bila Alama Zozote za Tahadhari

Morogoro: RTO Tafadhali Shughulikia Trela Lililotelekezwa Mbugani Mikumi Bila Alama Zozote za Tahadhari

mwaka fulani ivi nakumbuka kulikuwa na wanamuziki walogongaga lori lililokuwa limesimama maeneo ya mikumi na wengi waliangamia
Kweli mkuu, ile sehemu madereva wanajiachia sana usiku
 
Unafikiri hawajaliona hilo trekta,basi tu...

Kiukweli ni kama limetegeshwa kwa dhamira fulani, mtu mwenye akili timamu angeweka hata alama kuwa alert watumiaji wa barabara
 
Hao walikuwa wanamuziki wa bendi ya Taarabu Five stars waliokufa katika ajali ya Gari Mikumi wakitoka kutumbuiza na wakiwahi Kuja Kutumbuiza Dar na waliokufa ni Issa Kijoti, Nasoro Madenge, Mapande, Fembe Juma, Omary Hashim, Tizo ,Omari Tall, Ngeleza Hasan, Hamisa Omari, Maimuna , Haji Msanii na mcheza show wa kundi la Kitu Tigo Ilala. Na wengine wengi.
KITU TIGO enzi hizo😥
Mungu awalaze pema peponi

Wengi wanapoteza maisha kwa uzembe wa watu wachache tu
 
Hairuhusiwi kupiga picha ndani ya mbuga za wanyama bila idhini ya maliasili.
 
Napenda kumtaarifu RTO wa Morogoro kuwa kuna trela la semi limetelekezwa tangu Jumamosi last week mpaka jana usiku mbugani mikumi kama kilomita 15 kutoka mjini, trela hilo halina alama zozote za tahadhari, halina reflective stickers wala triangle, tumepita hapo jana majira ya saa 2 na bus nusura tujigonge as mbele yetu kulikuwa na lori linakuja taa zikiwa full light

Yawezekana tukawa wachache kati ya wengi walionusurika kujibamiza kwenye hilo trela

Nawasilisha
Kapicha mkuu
 
Napenda kumtaarifu RTO wa Morogoro kuwa kuna trela la semi limetelekezwa tangu Jumamosi last week mpaka jana usiku mbugani mikumi kama kilomita 15 kutoka mjini, trela hilo halina alama zozote za tahadhari, halina reflective stickers wala triangle, tumepita hapo jana majira ya saa 2 na bus nusura tujigonge as mbele yetu kulikuwa na lori linakuja taa zikiwa full light

Yawezekana tukawa wachache kati ya wengi walionusurika kujibamiza kwenye hilo trela

Nawasilisha
Habari KAVU MNO

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom