SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Bila shaka alitumwa na viongozi wa chama chake CCMIt's all an act. Sele hakujiropokea tu. Alitumwa kuongea vile.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila shaka alitumwa na viongozi wa chama chake CCMIt's all an act. Sele hakujiropokea tu. Alitumwa kuongea vile.
Hivi unajua duniani kuna mamilioni ya watu ambao hawaamini kuwa kuna Mungu na Mungu hata siku moja hajawahi kuwaadhibu? Kwa nini mnataka kumfundisha Mungu kazi?
Kwani Sele ametenda jinai gani?Ua mtu halafu uone kama kukamatwa kwako kutasubiria kwanza mlalamikaji ajitokeze.
Atatafutiwa kesi huko huko, hata kukutwa na bangiKwani Sele ametenda jinai gani?
Ingeisikiliza audio yake Wala usingehoji swali la kijinga Kama hiliYani kakamatwa kwa kosa la kumlaumu Mungu.
[emoji16][emoji16][emoji16]Tokea lini Serikali imekuwa na Dini?
Unaweza ukasamehewa kiroho, lakini Jamhuri lazima ikuchukulie hatua. Kwani watoto wa shule wakipewa ujauzito na familia zikasameheana, Serikali ikijua itamuacha mtuhumiwa?Kwenye sala ya Baba Yetu (RC) kuna msitari unasema, "Tusamehe dhambi zetu kama tunavyowasamehe na sisi waliotukosea".
Polisi wa Tanzania wana vituko! Nani amewapelekea malalamiko? Au wameanza fanyia kazi RB za mitandaoni? Yeye imani yake imemwaminisha Mungu hayupo, unataka kumlazimisha akili imani muitakayo? Badirikeni, muda si rafiki kwenu.Tokea lini Serikali imekuwa na Dini?
Unaweza ukasamehewa kiroho, lakini Jamhuri lazima ikuchukulie hatua. Kwani watoto wa shule wakipewa ujauzito na familia zikasameheana, Serikali ikijua itamuacha mtuhumiwa?
Kavuta bangiAfande Sele kaikosea serikali kwa misingi ipi?
Kuna watu wanaamini Mungu hayupo, kuna watu wanaamini Mungu yupo. Nani ana mkashifu mwingine? Suruhisho: kila mtu ashikilie imani yake, serikali ishughulike na yule amnyoosheae kidole mwenzake.Kama haina dini basi iruhusu watu kukashifu imani ya wengine?
Very very good idea. Hoja ya Mungu wala polisi haiwahusu, ukitafuta ushahidi, utamaliza vitabu vya duniani.Sisi kama jeshi la polisi tunamhoji mhusika kuhusu bangi alizozitaja. Hilo la Mungu bado hatuna ushahid wa kutosha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kavuta bangi
Ipo mwilini, mkojo unaonyeshaAmekamatwa nayo?