Nsimbinso
JF-Expert Member
- Dec 15, 2020
- 407
- 431
Kakamatwa sababu ya kutoa matusi hadharani...Tokea lini Serikali imekuwa na Dini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kakamatwa sababu ya kutoa matusi hadharani...Tokea lini Serikali imekuwa na Dini?
Ila watu wake wana diniSerikali tuliambiwa haina dini?
Bangi itaongea tuSisi kama jeshi la polisi tunamhoji mhusika kuhusu bangi alizozitaja. Hilo la Mungu bado hatuna ushahid wa kutosha🤣🤣🤣🤣🤣
Hata George Bush alipigwa laana afe baada ya mwezi akaishia kupaliwa na mfupa na laana ya kutupiwa viatu.Msameheni tu maana hajui alitendalo ,hata yule shehe ubwabwa aliyesema afe sijui ndani ya siku saba sio kazi yake na wala yeye sio Mungu ndiomaana dua zote ama laana zote wanasema Mungu aone cha kumfanya sio yeye aamrishe eti afe kabla ya Ramadhan who is Kishki hekima ni kitu Muhimu sana hasa unapokua kiongozi uwe wa Dini ama Siasa
Msanii mkongwe wa muziki, Selemani Msindi maarufu Afande Sele, anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mjini Morogoro kwa mahojiano baada ya video yake iliyokuwa na maudhui ya kumlaumu Mwenyezi Mungu kwa kile alichodai hakutenda haki kuruhusu kifo cha aliyekuwa Rais wa Tanzania Dkt. Magufuli.
Hivi karibuni afande Sele alisikika akimlaumu Mungu kuruhisu Magufuli afe.
Mkuu wa Polisi Morogoro kasema kesho ataongea kinagaubaka sababu za kumkamata na kumlaza Korokoroni.
Zaidi soma: Afande Sele( Seleman Msindi), asomewa dua ya kufa kabla ya Ramadhan ya 2021 kufika, atuhumiwa kumkufuru Mungu
View attachment 1732037
mbona bado yuko haiHata George Bush alipigwa laana afe baada ya mwezi akaishia kupaliwa na mfupa na laana ya kutupiwa viatu.
Umeisikiliza voice clip ya maneno ya Afande Sele kweli?Kama haina dini basi iruhusu watu kukashifu imani ya wengine?
Kiatu kilimkosakosa ndiyo laana ilipoishia.mbona bado yuko hai
Wanadamu tunatafutaga chance ya kunyooshana tu. Watu wanakuwa na stress au hasira zao, then wanatafuta pa kuzimwagia.Alishaomba radhi asee,tena ameomba msamaha vizuri sana.
Amesema alipokea taarifa ya kifo cha JPM kwa mshtuko akachanganyikiwa na kuanza kuropoko.
Kama Mungu anasemehe sisi wanadamu ni wakina nani tusisamee?
Au pombeHilo jina ni kubwa, tena la Nabii wa Mwenyezi Mungu, Hakustahili kuitwa hilo (Suleiman) badala yake wangemuita John n.k
Amelaumu na kumtukana Mungu acha kuogopa kusema ukweli haikuwa lawama tu na matusiMsanii mkongwe wa muziki, Selemani Msindi maarufu Afande Sele, anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mjini Morogoro kwa mahojiano baada ya video yake iliyokuwa na maudhui ya kumlaumu Mwenyezi Mungu kwa kile alichodai hakutenda haki kuruhusu kifo cha aliyekuwa Rais wa Tanzania Dkt. Magufuli.
Hivi karibuni afande Sele alisikika akimlaumu Mungu kuruhisu Magufuli afe.
Mkuu wa Polisi Morogoro kasema kesho ataongea kinagaubaka sababu za kumkamata na kumlaza Korokoroni.
Zaidi soma: Afande Sele( Seleman Msindi), asomewa dua ya kufa kabla ya Ramadhan ya 2021 kufika, atuhumiwa kumkufuru Mungu
View attachment 1732037
haha childish thoughts hizo. hakuna cha laana wala nn. zilikuwa hasira tu zileKiatu kilimkosakosa ndiyo laana ilipoishia.
Kabisa tena anamlinda mshikaji sele.Roving Journalist habari imeiandikia kishikaji sana
Alishaomba radhi asee,tena ameomba msamaha vizuri sana.
Amesema alipokea taarifa ya kifo cha JPM kwa mshtuko akachanganyikiwa na kuanza kuropoko.
Kama Mungu anasemehe sisi wanadamu ni wakina nani tusisamee?
Ingependeza zaidi wangemwita Mohammed.Hilo jina ni kubwa, tena la Nabii wa Mwenyezi Mungu, Hakustahili kuitwa hilo (Suleiman) badala yake wangemuita John n.k