LaRosa
JF-Expert Member
- Jul 3, 2020
- 901
- 2,876
Sio jiwe anaitwa chuma au shujaa wa Africa kwa Sasa. [emoji41][emoji16]Mkuu iyo avatar picha yako jiwe kanyoa 'pushbeck'
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio jiwe anaitwa chuma au shujaa wa Africa kwa Sasa. [emoji41][emoji16]Mkuu iyo avatar picha yako jiwe kanyoa 'pushbeck'
Tokea lini Serikali imekuwa na Dini?
faini yake utakuta ni elfu 25 ! makosa makubwa nchi hii ni ya kisiasa tuHuyu atashtakiwa kwa kupost video yenye matusi!
Kwani amevunja Sheria gani ili tuwe na uelewa wa PamojaIngekua logic ni hiyo ingekua watuhumiwa wakifika mahakamani wanaomba msamaha halafu jaji anasema 'Kwakua Mungu anasamehe basi mtuhumiwa anaachiwa huru'
Sheria inasemaje?Wamtulize kwanza. Mpaka msiba uishe.
Uenda akamuona MUNGU
kwa hiyo ndiyo ajirekodi nakutuma kwenye social media? wale wote wanotafuta kiki wasubiri muda siyomrefu. haiwezekani unalia unajirekodi na mwingine anafikiri mungu anaonea, kama alikuruhusu uje kwenye hii dunia ni lazi ma utokeAlishaomba radhi asee,tena ameomba msamaha vizuri sana.
Amesema alipokea taarifa ya kifo cha JPM kwa mshtuko akachanganyikiwa na kuanza kuropoko.
Kama Mungu anasemehe sisi wanadamu ni wakina nani tusisamee?
Lugha isiyo na staha ndio inaweza kumpa kesiTokea lini Serikali imekuwa na Dini?
Msanii mkongwe wa muziki, Selemani Msindi maarufu Afande Sele, anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mjini Morogoro kwa mahojiano baada ya video yake iliyokuwa na maudhui ya kumlaumu Mwenyezi Mungu kwa kile alichodai hakutenda haki kuruhusu kifo cha aliyekuwa Rais wa Tanzania Dkt. Magufuli.
Hivi karibuni afande Sele alisikika akimlaumu Mungu kuruhisu Magufuli afe.
Mkuu wa Polisi Morogoro kasema kesho ataongea kinagaubaka sababu za kumkamata na kumlaza Korokoroni.
Zaidi soma: Afande Sele( Seleman Msindi), asomewa dua ya kufa kabla ya Ramadhan ya 2021 kufika, atuhumiwa kumkufuru Mungu
View attachment 1732037
It's all an act. Sele hakujiropokea tu. Alitumwa kuongea vile.
Huenda wamepokea malalamiko toka kwa Mungu kuwa kitendo hicho kingemsababishia uvunjifu wa amani.Msanii mkongwe wa muziki, Selemani Msindi maarufu Afande Sele, anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mjini Morogoro kwa mahojiano baada ya video yake iliyokuwa na maudhui ya kumlaumu Mwenyezi Mungu kwa kile alichodai hakutenda haki kuruhusu kifo cha aliyekuwa Rais wa Tanzania Dkt. Magufuli.
Hivi karibuni afande Sele alisikika akimlaumu Mungu kuruhisu Magufuli afe.
Mkuu wa Polisi Morogoro kasema kesho ataongea kinagaubaka sababu za kumkamata na kumlaza Korokoroni.
Zaidi soma: Afande Sele( Seleman Msindi), asomewa dua ya kufa kabla ya Ramadhan ya 2021 kufika, atuhumiwa kumkufuru Mungu
View attachment 1732037
Tuache mizaha kwenye masuala ya kiroho. Hiki ulichoandika hapa kinaweza kukuweka matatani ama hapa Duniani au huko utapokwenda baada ya kufariki.Huenda wamepokea malalamiko toka kwa Mungu kuwa kitendo hicho kingemsababishia uvunjifu wa amani.
Hivi uelewa wenu huwa uko wapi au mnatumia nini kufikiri? Kutokuwa na dini na kukashifu imani za wengine wapi na wapi? Mtu unakuwa mjinga mpaka unakera yaaniKama haina dini basi iruhusu watu kukashifu imani ya wengine?
Yeye anamlaumu Mungu, ni Mungu atashughulika nae, iweje serikali?Kama haina dini basi iruhusu watu kukashifu imani ya wengine?