Morogoro: Selemani Msindi (Afande Sele) adakwa na kulazwa Korokoroni, mdomo wake wamponza

Morogoro: Selemani Msindi (Afande Sele) adakwa na kulazwa Korokoroni, mdomo wake wamponza

Ingekua logic ni hiyo ingekua watuhumiwa wakifika mahakamani wanaomba msamaha halafu jaji anasema 'Kwakua Mungu anasamehe basi mtuhumiwa anaachiwa huru'
Kwani amevunja Sheria gani ili tuwe na uelewa wa Pamoja
 
Alishaomba radhi asee,tena ameomba msamaha vizuri sana.
Amesema alipokea taarifa ya kifo cha JPM kwa mshtuko akachanganyikiwa na kuanza kuropoko.
Kama Mungu anasemehe sisi wanadamu ni wakina nani tusisamee?
kwa hiyo ndiyo ajirekodi nakutuma kwenye social media? wale wote wanotafuta kiki wasubiri muda siyomrefu. haiwezekani unalia unajirekodi na mwingine anafikiri mungu anaonea, kama alikuruhusu uje kwenye hii dunia ni lazi ma utoke
 
Msanii mkongwe wa muziki, Selemani Msindi maarufu Afande Sele, anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mjini Morogoro kwa mahojiano baada ya video yake iliyokuwa na maudhui ya kumlaumu Mwenyezi Mungu kwa kile alichodai hakutenda haki kuruhusu kifo cha aliyekuwa Rais wa Tanzania Dkt. Magufuli.

Hivi karibuni afande Sele alisikika akimlaumu Mungu kuruhisu Magufuli afe.

Mkuu wa Polisi Morogoro kasema kesho ataongea kinagaubaka sababu za kumkamata na kumlaza Korokoroni.

Zaidi soma: Afande Sele( Seleman Msindi), asomewa dua ya kufa kabla ya Ramadhan ya 2021 kufika, atuhumiwa kumkufuru Mungu
View attachment 1732037

Ujinga huo. Kumlazimisha mtu aamini wanachoamini ni terrorism. Wamuache atajuana na Mungu wake!
 
Msanii mkongwe wa muziki, Selemani Msindi maarufu Afande Sele, anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mjini Morogoro kwa mahojiano baada ya video yake iliyokuwa na maudhui ya kumlaumu Mwenyezi Mungu kwa kile alichodai hakutenda haki kuruhusu kifo cha aliyekuwa Rais wa Tanzania Dkt. Magufuli.

Hivi karibuni afande Sele alisikika akimlaumu Mungu kuruhisu Magufuli afe.

Mkuu wa Polisi Morogoro kasema kesho ataongea kinagaubaka sababu za kumkamata na kumlaza Korokoroni.

Zaidi soma: Afande Sele( Seleman Msindi), asomewa dua ya kufa kabla ya Ramadhan ya 2021 kufika, atuhumiwa kumkufuru Mungu
View attachment 1732037
Huenda wamepokea malalamiko toka kwa Mungu kuwa kitendo hicho kingemsababishia uvunjifu wa amani.
 
Huenda wamepokea malalamiko toka kwa Mungu kuwa kitendo hicho kingemsababishia uvunjifu wa amani.
Tuache mizaha kwenye masuala ya kiroho. Hiki ulichoandika hapa kinaweza kukuweka matatani ama hapa Duniani au huko utapokwenda baada ya kufariki.
 
Na ile dua ya kuwa atakufa kabla ya ramadhan iko palepale kama ataendelea kukakaa korokoroni basi atafia hukohuko
 
Kama haina dini basi iruhusu watu kukashifu imani ya wengine?
Hivi uelewa wenu huwa uko wapi au mnatumia nini kufikiri? Kutokuwa na dini na kukashifu imani za wengine wapi na wapi? Mtu unakuwa mjinga mpaka unakera yaani
 
Huyo mla bange tu,ya siku hiyo ilikua mbichi kabisa wamsamehe bure.
 
Ni sahihi Polisi kumshikilia Selemani Msindi. Mara nyingi kuna watu hujidai kuomba dua madhara yamfike mtu Kisha wao wenyewe huenda kumdhuru mtu huyo Ili wamshuhudie Mungu uongo kuwa katimiza haja yao kabla ya ramadhani.
Hivyo Polisi wamlinde Afande Sele Hadi ramadhani ifike. Ili kama ni kutwaliwa iwe mikononi mwa Polisi.
 
Back
Top Bottom