Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
kwani huyu kaua sasa ? huyu laana tu inamtoshaUa mtu halafu uone kama kukamatwa kwako kutasubiria kwanza mlalamikaji ajitokeze
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani huyu kaua sasa ? huyu laana tu inamtoshaUa mtu halafu uone kama kukamatwa kwako kutasubiria kwanza mlalamikaji ajitokeze
tangu maza alivowaambia yeye ni rais mwenye maumbile ya mwanamke polisi wetu wamejaa upepo.Tokea lini Serikali imekuwa na Dini?
Alitumwa na nani?It's all an act. Sele hakujiropokea tu. Alitumwa kuongea vile.
Itakuwa sawaItakuwa wamemuweka ndani ili wamuepushe na wanadamu wenye hasira.
How could that be ? who is the sole proprietor ? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]It's all an act. Sele hakujiropokea tu. Alitumwa kuongea vile.
Alishaomba radhi asee,tena ameomba msamaha vizuri sana.
Amesema alipokea taarifa ya kifo cha JPM kwa mshtuko akachanganyikiwa na kuanza kuropoko.
Kama Mungu anasemehe sisi wanadamu ni wakina nani tusisamee?
Ni Imani ya Nani afande sele kaikashifu?Kama haina dini basi iruhusu watu kukashifu imani ya wengine?
Afande sele amekashifu imani ya nani?Kama haina dini basi iruhusu watu kukashifu imani ya wengine?
Kosa ni kutoa matusi ya nguoni!! Kwa nani? hilo kwao halijalishi sana...!!!Mimi naona hapo afande wanamuonea tu, serikali ingemuweka nguvuni endapo Kama angetoa matusi hayo kwa dini/dhehebu flani..
My thoughts exactly.Tokea lini Serikali imekuwa na Dini?
Ta ta ta ta Ta Ta TakbiiiirItakuwa wamemuweka ndani ili wamuepushe na wanadamu wenye hasira.
Na amelipwa vizuri sana .It's all an act. Sele hakujiropokea tu. Alitumwa kuongea vile.