Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Shabiby and BM are now typing…
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shikamoo Bibi, umesahau kubadili ID. Umetumia Id yako ya kusifia, kuponda. Logout ubadilishe IDWatanzania hatuwezi kuendesha mabasi ya mjini, tutaweza train ya kisasa?
Bado hatujafikia kiwango hicho. Adui yetu mkuu ni ujinga.
Naanza kuionea huruma ATC, nadhani huko kuna madudu mengi sana lakini yanafichwa.
Avatar in jezi ya Manjesta
Una akili km 10Haag.
Huyo jamaa aliyepiga hizi picha..ana gubu..Trein ya SGR imekwama Porini Karibu na kidete na Mpaka sasa ni saa Saba usiku treni ya SGR imekwama njiani Kidete, mabehewa yafunguliwa milango watu wapumue.
View attachment 3057210View attachment 3057212View attachment 3057211View attachment 3057211View attachment 3057213
Saa 6:32 we umeshafika saa saba!!Trein ya SGR imekwama Porini Karibu na kidete na Mpaka sasa ni saa Saba usiku treni ya SGR imekwama njiani Kidete, mabehewa yafunguliwa milango watu wapumue.
View attachment 3057210View attachment 3057212View attachment 3057211View attachment 3057211View attachment 3057213
Trein ya SGR imekwama Porini Karibu na kidete na Mpaka sasa ni saa Saba usiku treni ya SGR imekwama njiani Kidete, mabehewa yafunguliwa milango watu wapumue.
View attachment 3057210View attachment 3057212View attachment 3057211View attachment 3057211View attachment 3057213
Mbona saa 7 bado au uko nchi gani??
Saa saba ya nchi gani?? Kwani wako nchi gani maana Hapa tz ni saa sita na nusu usiku
Jikite kwenye hoja ya msingi ya abiria kukwama maporini kisa treni kupata hitilafu. Muda wa tukio sio issue maana sisi sio wapelelezi.Saa 6:32 we umeshafika saa saba!!