Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza wakamatwe kwa kuhujumu miundo mbinuUkiangalia picha za washukiwa wanaonekana wana mpango wa kukata nyaya kabisa
Serikal ichukue tahadhari
Tunatakiwa tuulize pia kama huko nchi zingine hakuna ngedere na bundi? 🤣Kama n ngedere na bundi siku akasababisha bwana tembo itakuajee
Hii ni press ya shirika au press ya CCM ? Picha ya Samia kwenye shirika la reli
Shujaa: Vita vya Kiuchumi ni vibayaTutarajie ngedere waongezeke sio
Sukuma Ndani Wote Wale Safisha SafishaKuna watu walipaswa wasiwepo ofini asubuhi hii
Tukio limetokea mara ya kwanza na mpo salama watoa taarifa sio hao wanaondesha wao jukumu lao ni kuwatoa sehemu moja na kuwapeleka sehemu ingine wakiona ipo changamoto hawatakiwi kuendelea na safari hilo ni Bomu mkuu usione umelipanda huku likiwa na viti ndani ukiona umefika salama ni swala la kushuru sana pia...Mimi sina shida na train ni nzuri sana, kuharibika pia sio ajabu, kuchelewa sio ajabu ila mashaka yananijia kwenye customer care, TRC walitakiwa usiku uleule kuelezea na kuomba radhi kuonesha kujali, kituoni tu hawakuweza kutoa taarifa kwenye display kama kuna delay hio ndio shida yangu.
Labda wakiwa wametoroka kambi wanachepuka au kwenda kukojoaNimeuliza ili nipate uelewa, maana treni ilikata umeme usiku, na Ngedere ametajwa, i chose to the the devil' s advocate
Kwa wenzetu changamoto zinatokea lakini siyo kuwaweka abiria masaa mawiliTunatakiwa tuulize pia kama huko nchi zingine hakuna ngedere na bundi? 🤣
OohhLabda wakiwa wametoroka kambi wanachepuka au kwenda kukojoa
Mimi siwalaumu wao nalaumu Admistration kwa maana customer care wao wanatakiwa kuwataarifu hata wapokeaji wa watu wao nini kimetokea kutokana na kuchelewa kufika basi lakini sisemi haya mambo hayatokei maana kikubwa ni usalama sio kufika haraka. Chukulia uko uwanja wa ndege unasubiri mgeni wako unaona kwenye display ndege inafika saa 4 halafu ndege hakuna mpaka saa 7 hapo hakuna taarifa yoyote ya delays uta panic, lakini huwa kawaida wanaandika pale kama departure delay na arrival time estimated sasa TRC walitakiwa tu kituoni kuweka taarifa basi hakuna lingine.Tukio limetokea mara ya kwanza na mpo salama watoa taarifa sio hao wanaondesha wao jukumu lao ni kuwatoa sehemu moja na kuwapeleka sehemu ingine wakiona ipo changamoto hawatakiwi kuendelea na safari hilo ni Bomu mkuu usione umelipanda huku likiwa na viti ndani ukiona umefika salama ni swala la kushuru sana pia...