The Supreme Conqueror
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 458
- 1,280
Leo moroko wameendeleza kile walichokianzisha tangu hatua za makundi ni timu pekee mpaka sasa iliyoruhusu nyavu zake kuguswa mara 1 tena kwa goli la kujifunga wenyewe dhidi ya Canada katika michuano hii ya kombe la dunia huko Qatar.
Hakika ni jambo la kujivunia wakiwa na kocha mzawa wamecheza Crotia 0-0, Morocco 2 Belgium 0,Morocco2 canada 1 Morocco 0 Spain 0 , Morocco 1 Portugal 0 katika mechi 5 kakutana miamba migumu ya Ulaya 4 na hakuruhusu wavu wake kuguswa maana yake wana nidhamu kubwa katika ukabaji hivyo tutegemee kuona maajabu mengine kutoka kwao katika hatua inayofuata kizuri na cha kujivunia wachezaji wao wengi ni vijana na wana ari kubwa na wana uzoefu mkubwa kwani wengi wao wanacheza ligi kubwa za ulaya.Hakika wametutoa kimaso maso waafrika wakikosa fainali basi nina uhakika mshindi 3 lazma wapate.
Hakika ni jambo la kujivunia wakiwa na kocha mzawa wamecheza Crotia 0-0, Morocco 2 Belgium 0,Morocco2 canada 1 Morocco 0 Spain 0 , Morocco 1 Portugal 0 katika mechi 5 kakutana miamba migumu ya Ulaya 4 na hakuruhusu wavu wake kuguswa maana yake wana nidhamu kubwa katika ukabaji hivyo tutegemee kuona maajabu mengine kutoka kwao katika hatua inayofuata kizuri na cha kujivunia wachezaji wao wengi ni vijana na wana ari kubwa na wana uzoefu mkubwa kwani wengi wao wanacheza ligi kubwa za ulaya.Hakika wametutoa kimaso maso waafrika wakikosa fainali basi nina uhakika mshindi 3 lazma wapate.