Efue kuaribu huwa ni dk 0 tu huyu mwamba[emoji23][emoji28].
viongozi wa Simba ni kama viongozi wa Yanga,na viongozi wa Yanga ni kama viongozi wa Simba.
yatakayo tokea Simba na Yanga yatatokea pia,na yatakayotokea Yanga na Simba yatatokea pia.
ni swala la muda tu.