hometown
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 939
- 1,311
Kama unataka kulaumu uongozi kufanyaa yao,Tuambie wewe umeweka shilingi ngapi hapo Yanga?
Tafuta pesa acha lawama.kama kusumbua atawasumbua wafanya maamuzi na pesA zao
Sisi tunataka ushindi tu na matokeo mazuri
Upande wa pili hawaulizi bilion zao,hawaulizi michango ya kiwanja, hawaulizi demu wa mo kupewa madaraka wala dadake mo kuwa mmoja wa viongozi wa simba qeen?
Fununu za kurudishwa morrison zinakaza mishipa ya shingo??!!ebu acheni hizo
Ebu achenie
Tafuta pesa acha lawama.kama kusumbua atawasumbua wafanya maamuzi na pesA zao
Sisi tunataka ushindi tu na matokeo mazuri
Upande wa pili hawaulizi bilion zao,hawaulizi michango ya kiwanja, hawaulizi demu wa mo kupewa madaraka wala dadake mo kuwa mmoja wa viongozi wa simba qeen?
Fununu za kurudishwa morrison zinakaza mishipa ya shingo??!!ebu acheni hizo
Ebu achenie