Morrison akubali kubaki Simba, umafia wafanyika usiku huu, Yanga hawaamini macho yao

Aliyewaita mbumbumbu wala hakukosea.
Ni kama nyie jinsi aliyekuwa Kocha wenu Mkuu Luc Eymael ( Raia wa Ubelgiji ) aliposema ( na ipo YouTube ) kuwa Mashabiki wa Yanga SC ni kama Nyani, Mbwa na Sokwe.

Hivyo hivyo Haji Manara akiwa anafanya Mahojiano na EFM ( alipokuwa Simba SC ) alisema kuwa wenye Akili Timamu Yanga SC nzima ni Rais Mstaafu Kikwete na Baba yake Mzazi Mzee Manara akimaanisha kuwa waliobakia / mliobakia Wote ni Wendawazimu ( Matahaira ) tupu wakiongozwa nawe 'Senior' wao.
 
Upuuzi uliosema timu zote za kariakoo unazo, hata yanga walikuwa hawana shida na morrison sema walitaka kumsajili ili kukomoa simba
 
Upuuzi uliosema timu zote za kariakoo unazo, hata yanga walikuwa hawana shida na morrison sema walitaka kumsajili ili kukomoa simba
Leo baada ya kusikia anabakia Simba SC ndiyo yanawatokeni 'Matapishi' haya? Na bado.....!!!
 
Haya 'Matapishi' kutoka kwa Mazuzu wa Yanga SC wenye Akili tuliyategemea.

Kama umekiri kuwa Yanga SC mlimtaka Morrison ili Kuwakomoa ( Kuwajambisha ) Simba SC kwani Simba SC nao ( nayo ) ikijibu hayo Mapigo kuna tatizo?

Wana Yanga SC acheni Unafiki ukweli ni kwamba hii Taarifa imewauma ila mnazuga tu hapa kwa Sizitaki Mbichi hizi.

Tulishawaambieni kuwa Injinia Hersi Said ni Mtoto wa Mjini na anawaingizeni Chaka kwa Kuwadanganyeni Kutwa na Sajili zake za Kipropaganda na Kimihemko hamsikii.

Alianza kwa Aziz K kisha kwa Bernard Morrison je, hawa Wote tayari wamesinya Yanga SC au? Ndiyo maana wasio na Akili wengi wako Jangwani.
 
Acha kudanganya watu. Simba ina viongozi wanaojitambua . Hawawezi fanya huo ujinga. Aende hukohuko kwa vichaa wenzake hakina Manara + Mashabiki hamnazo
 
Umempa za uso . Nadhani hatorudia.Hawa watu Wana matatizo makubwa kwenye bongo zao.
 
Morrisson hapo ndo mshindi,mwanzoni alikataa kusigna Simba kisa mlimpunguzia mshahara na dau la kusigna. Kama Simba wamekubali kumuongezea mshahara na dau. Basi Morris ni wina.
 
Marrison kaitumia yanga kupigiwa magoti na simba. Bado simba wanaweweseka na manara. Marrison hakufaa kurudi yanga. Afadhali mmeubeba huo mzigo wenu usio na nidhamu
 
Naona mnajitekenya na kucheka wenyewe. Zigo lenu hilo
 
Hapo kwenye kila mmoja kueleza ya moyoni ndo ulipoharibu..!!! Hakuna umafia hapo ni madukuduku tu ya moyoni ambayo mwana kayamwaga na mmekubali
 
Marrison kaitumia yanga kupigiwa magoti na simba. Bado simba wanaweweseka na manara. Marrison hakufaa kurudi yanga. Afadhali mmeubeba huo mzigo wenu usio na nidhamu
Nyani wa pori la Utopolo ni wepesi sana kudanganyikaa. Hilo zoga lenu Simba walishamtema kitambo, endeleeni kuokota makombo' ya Simba
 
Nyani anamuita nyani mwenzake🤣🤣🤣kila binadamu ni mzoga mtarajiwa tafuta tusi jipya ila manara kiboko yenu mpaka mmempigia magoti marrison bila kutarajia. Anayeokota makombo ni simba mmemkosa mayele basi hasira zote mnamalizia kwa manara🤣🤣🤣🤣
Nyani wa pori la Utopolo ni wepesi sana kudanganya. Hilo zoga lenu Simba walishamtema kitambo, endeleeni kuokota makombo' ya Simba
 
Hawa mashabiki wa uto Wana upuuzi upuuzi mwingi
 
hii itakuwa habari njema sana kwa wananchi kama kweli morrison atabaki huko huko simba!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…