Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Ukizoea tabia za uongo hata mkeo akikuzalia mtoto utahisi wa mdogo wako ama rafiki yako
Yanga wameandika waraka wanamudhibu Morrison kwa kufanya mahojiano na vyombo vyahabari
Wameandika wana mkataba na Morrison mpaka 2022
Huu ni uhuni. Msikilizeni Morrison anavyosema wazi mkataba wake unaisha mwezi ujao
Baadaya kucheza na kumaliza mkataba wakwanza Yanga wamemwongezea miezi sita byie mbadu mnasema miaka miwilj kwanza huu n uhuni semeni ukweli tu
Na kama ndivyo naomba niwambie wana Yanga, Morrison anaelekea msimbazi mda sio mrefu. All the best
Yanga waonyeshe mkataba wa Morrison kama wanajiamini
========
Yanga wameandika waraka wanamudhibu Morrison kwa kufanya mahojiano na vyombo vyahabari
Wameandika wana mkataba na Morrison mpaka 2022
Huu ni uhuni. Msikilizeni Morrison anavyosema wazi mkataba wake unaisha mwezi ujao
Baadaya kucheza na kumaliza mkataba wakwanza Yanga wamemwongezea miezi sita byie mbadu mnasema miaka miwilj kwanza huu n uhuni semeni ukweli tu
Na kama ndivyo naomba niwambie wana Yanga, Morrison anaelekea msimbazi mda sio mrefu. All the best
Yanga waonyeshe mkataba wa Morrison kama wanajiamini
========