Morrison apigwa “Ban” ya Mechi 3

Kwa hiki kikosi cha Yanga cha msimu huu! Huyo Morrison ni tone tu la maji kwenye bahari!! Adhabu ya tatehe 23 Oktoba, itabakia palepale.

Imagine hiyo nafasi yake anayocheza, tayari ina wachezaji wengine wasiopungua watatu!! Tuisila Kisinda, Denis Nkane, na Jesus Moloko!!
 
Nakumbuka siku moja wakati bado i yupo Simba,
akaamua kuvua bukta na kuzunguka uwanja akiwa na chupi aina ya VIP,,

Aibu nilikuwa naona mie huku kwenye Luninga
 
Oooh! pole Dada
 
+ Ambundo, Farid
 
Unaandika ukiwa umekalia kiti kigumu siyo?

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Izi fine za milion Moja, wachezaji wetu wazawa wataweza kulipa? Isije ikawa unatoa adhabu kwania ya ku mkomoa Fulani kumbe una kundi kubwa la wachezaji wazawa ikiwatokea kosa kama ilo wakashindwa kulipa adhabu.
mzawa fine itapungua.chezea tff
 
 
Nilishandika Uzi hapa. Morrison anapaswa kufukuzwa TZ. Mtashangaa anahamia singida utd
 
We jamaa unachoongea unakijua au umekurupuka? Morrison hajasajiliwa kimataifa lini?? [emoji706][emoji706][emoji706]
Sawa, tuone kama atakaa hata benchi mechi za Al Hilal
 
Arudishwe kwao mapema kabla hajaigharimu timu. Kuna mechi nilihisi ni mwehu anajiangusha anabebwa kwny machela anafika nje anarudi ndani mpk waliombeba ikabidi wacheke ila ile ilikua ni ujinga.
 
Bila kupepesa macho morrison ni kichaa tu kwanini alitaka kumuua mwaikenda sasa???...wanafarijiana na manara saa hizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…