Smart AJ
JF-Expert Member
- Mar 21, 2022
- 5,564
- 5,884
Kwa hiki kikosi cha Yanga cha msimu huu! Huyo Morrison ni tone tu la maji kwenye bahari!! Adhabu ya tatehe 23 Oktoba, itabakia palepale.
Imagine hiyo nafasi yake anayocheza, tayari ina wachezaji wengine wasiopungua watatu!! Tuisila Kisinda, Denis Nkane, na Jesus Moloko!!
Si tunachojua kafungiwa hayo ya tone sjui mtajua wenyewe