Morrison hiyo ni plagiarism

mmteule

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2011
Posts
5,883
Reaction score
14,600
Mchezaji mwenzako wa Orlando Pirates amefedheeka sana kwa kuiga stail yake wakati mkicheza timu moja huko South.

Kumbe wakati wewe kakuweka Benchi ulikuwa na kazi ya kukopi haki zake za kucheza mpaka manjonjo.

Watanzania na Wanasimba wote tunakwambia hatujaona kiti kipya maaana ulichofanya jana ni kukopi na kupaste kazi ya Mchezaji mwenzako wa Orlando Pirate. Wazembe tu ndio wataona kitu kipya no thanks.

Angalia video chini
 

Attachments

  • VID-20200127-WA0021.mp4
    4.7 MB
unaonekana umejiunga jf muda mrefu ila kichwani mwako mtupu kabisa😁😁😁😁😁😁😁
 
Kuiga ruksa, ila afanye hivyo kwenye mechi zote kama siku moja hajatafuta gei la kutokea
Kuna watu wanapiga keleleeee utazan kafanya kitu kipya, tunawakumbusha tu Mkuu waache kelele huku mtaaani wanatusumbua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…