Askari kioja
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 356
- 962
Wazi wazi tena[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kasema wazi wazi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazi wazi tena[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kasema wazi wazi.
Wachina wanwjifunzia waoi kiingereza,ila yanga mmesoma kiingereza tangu chekechea ila hamjui kukiongea huo ni ujingaKujua kingereza ndo kuwa na akili?
Kuna utofauti kati ya kuelewa na kuwa na akili
Wachina wanaakili , Ila hawaelewi kingereza
Wewe sio mwana Yanga
Eti tuna vinyesi kwenye kyupiKwani kasemaje? [emoji1787][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kawaaibisha mnoooWazi wazi tena[emoji23]
Kama anavyoaibisha Kocha Nabi kuwa na mkalimani Makambo au siyo?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kawaaibisha mnooo
HahahahahMtajijuwa wenyewe na chizi mwenzenu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa Morisson ndo kasema hivyo, why unakua bitter kwangu??? Hebu relaaaaaaaaxxxKama anavyoaibisha Kocha Nabi kuwa na mkalimani Makambo au siyo?
Lugha ya Taifa Tanzania ni ipi? Mbona hapa JF majukwaa ya Kingereza hamuonekani mmewasusia wakenya?
Unafki wenu jumanne nane nane wala siyo mbali.
[emoji3] mmekuwa kama huyu jamaa tuu.Byuti byuti..!Kwa kweli tumehuzunishwa sana na kauli ya Morrison tena mbele ya Jukwaa la Wiki ya Mwananchi.
Kutuumbua kwa kusema hatuelewi anachoogea