Morrison Mali halali ya Simba

Yaani pale Yanga kuna wadau wawili wakuu ambao ni damu ya mnyama. Kuna mtoa mkwanja wa sasa, na kuna mwenye kigoda wa sasa
 
Mo anaweza kurudishwa kwao India unamchezea waziri wa sheria na katiba
 
kweli mashabiki wa simba ni mambumbumbu, yaani matakuwa wa kudanganywa kwa kwenda mbele adi siku mnaingia kaburin………….pole sana!
 
Ivi kumbe simba mnamkubali Jamaa
 
kweli mashabiki wa simba ni mambumbumbu, yaani matakuwa wa kudanganywa kwa kwenda mbele adi siku mnaingia kaburin………….pole sana!
Jipe muda utakuja kuaibika. Kuna audio anakiri kuchukua mzigo wa Simba, anasema hatasaini Yanga.

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Jamaa anawaumiza sana kila jina lake linapotajwa mashabiki wa simba mnaumia sana tulieni dawa iwaingie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…