frenk julius
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 377
- 242
- Thread starter
- #21
Morrison kichwa kikingne
Kama simba watamchukua utakuwa mwendelezo wa ujinga kwani kwa namba yake simba wana wachezaji wengi ila simba wanatakiwa kusajili kwa kuangalia mapungufu ya timu